Najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela?

Najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela?

Nawajua vyema kabisa..mtu serious huezi vaa raba nyeupe..maana akili yote itakuwa kuziprotect zisichafuke..ujinga huo
Sikujua kumbe na wewe una kipaji cha kuimba taarab. Ngoja nikuunganishe na Mzee Yusuf ukakoleze kipaji chako.

Ila hakuna chemistry nzuri kama ya mwanaume mwenye sura kavu akutane na mwanamke kisura lakini anakalia mifupa...

Wakikdansi utadhani Fiat inavutwa na Passo.
 
Niko Hapa kwenye Baar moja, kuna hawa wapiga mziki wanapiga kwenye hiii baaar kuna Wimbo huo umepigwa Mzuri Sana wa sibabaishwi na suraaa napenda tabia njemaaaa, sasa Hapa kila meza ina mwanamke na mwanaume inaonesha hawa wenzangu ni wanawake wa pembeni maaarufu kidumu, sasa wanaume wooote ni wabaya kwa sura baraaa, Lakini wanamademu PC za Uhakika baada Ya huo Wimbo kupiga wametuliaaaa! Ili madume wao wapate hiyo message.

Lakini najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela? Maaana mmoja hapa nimeona kalipa bili laki na nusu ila Mimi nimetoka peke yangu.
wewe utakuwa unamakengeza... yani DANGA lako ni Hendisamu!!!!!????
 
Na Ndiyo wadada wengi huingia mkenge na wengine hata kuolewa kwa kuangalia muonekano wa nje wakifika ndani kimbembe mwanamke anakuwa ndiye Baba na ndiye mama wa familia!
 
Niko Hapa kwenye Baar moja, kuna hawa wapiga mziki wanapiga kwenye hiii baaar kuna Wimbo huo umepigwa Mzuri Sana wa sibabaishwi na suraaa napenda tabia njemaaaa, sasa Hapa kila meza ina mwanamke na mwanaume inaonesha hawa wenzangu ni wanawake wa pembeni maaarufu kidumu, sasa wanaume wooote ni wabaya kwa sura baraaa, Lakini wanamademu PC za Uhakika baada Ya huo Wimbo kupiga wametuliaaaa! Ili madume wao wapate hiyo message.

Lakini najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela? Maaana mmoja hapa nimeona kalipa bili laki na nusu ila Mimi nimetoka peke yangu.
Simple: Kwakuwa wanakuwa wamekopi sura na tabia za mama zao.

Ni kawaida mwanamke kuombaomba. Na ni kawaida kwa mwanamke kugegedwa. Na uzuri wa mwanamke humfanya atamaniwe kugegedwa zaidi.
 
Yani bado tuwe na sura nzuri na kitandani pia tuko vizuri na hela pia aaaaahh jaman wadada ukiwa na hela wewe mdada inatosha kuchangamana
 
Niko Hapa kwenye Baar moja, kuna hawa wapiga mziki wanapiga kwenye hiii baaar kuna Wimbo huo umepigwa Mzuri Sana wa sibabaishwi na suraaa napenda tabia njemaaaa, sasa Hapa kila meza ina mwanamke na mwanaume inaonesha hawa wenzangu ni wanawake wa pembeni maaarufu kidumu, sasa wanaume wooote ni wabaya kwa sura baraaa, Lakini wanamademu PC za Uhakika baada Ya huo Wimbo kupiga wametuliaaaa! Ili madume wao wapate hiyo message.

Lakini najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela? Maaana mmoja hapa nimeona kalipa bili laki na nusu ila Mimi nimetoka peke yangu.
sina nauli tuanzie kwanza hapo.
 
Kuwa HB nako ni tatizo.
Naboreka sana nikiambiwa hivo, sipendi kabisa toka moyoni. Uwa najisikia aibu mno, naona kama kilema vile.
Ila ndio hivo tufanyeje
Ebu picha tuone kama wanakuonea au
 
Sikujua kumbe na wewe una kipaji cha kuimba taarab. Ngoja nikuunganishe na Mzee Yusuf ukakoleze kipaji chako.

Ila hakuna chemistry nzuri kama ya mwanaume mwenye sura kavu akutane na mwanamke kisura lakini anakalia mifupa...

Wakikdansi utadhani Fiat inavutwa na Passo.
😀😀😀 Muone
 
Niko Hapa kwenye Baar moja, kuna hawa wapiga mziki wanapiga kwenye hiii baaar kuna Wimbo huo umepigwa Mzuri Sana wa sibabaishwi na suraaa napenda tabia njemaaaa, sasa Hapa kila meza ina mwanamke na mwanaume inaonesha hawa wenzangu ni wanawake wa pembeni maaarufu kidumu, sasa wanaume wooote ni wabaya kwa sura baraaa, Lakini wanamademu PC za Uhakika baada Ya huo Wimbo kupiga wametuliaaaa! Ili madume wao wapate hiyo message.

Lakini najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela? Maaana mmoja hapa nimeona kalipa bili laki na nusu ila Mimi nimetoka peke yangu.
Kwasababu wanachagua kazi za ki handsome
 
U-handsome wenyewe ni hela
Yaani uwe handsome alafu ukose hela wewe ni chizi.

Handsome mazingira yanamsapoti. Labda awe na tabia za kivulana ambazo jata wenye sura mbovu sometimes wanakuwa nazo
 
Lekebisha sentence. Semawalio wengi na sio utujumuishe wote :

Mo ni sura mbaya?
Rostam ni Sura mbaya?
Lowasa m baya?
Idriss ni m baya?
Cheef Baroka ni m baya?

We kama umekutana na bwana wako mwanaume wa kinondoni akiamka asbuhi anapaka mafuta kwenye matako mwambie aendelee sisi tunatafta hela kwa niaba yake
Waziii!!!
 
Back
Top Bottom