Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,345
- 201,612
Hii nakazia kabisa bila doubt yoyote
Sample yako ilikuwa ngapi mpaka unakazia?
Hii nakazia kabisa bila doubt yoyote
Hhha hapa mie ni balozi wao...nawasemea ni kweli tupu..kweli kbs!♥️♥️♥️! Alafu hawaoni shida kumpa mwanamke wake hela...wale warefi Sasa mnashindana na mwanamke kudanga upewe hela...kitu kitongaaaa🙃Wanaume wafupi pia wanakuaga na hela mno
Kwani wamempa nini Mungu mpaka wapewe vyote?
Uzuri unawatosha. Ila mwanaume asipokua na hela sijui wenzangu mnaonaje huo uzuri wake
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji86][emoji86]hivi mwanaume handsome anafananaje? mawazo kama haya ndio yanawafanya wanaume huko dar kujipaka mavitu ya ajabu ajabu na kushinda saluni daily.
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji86]Kwani wamempa nini Mungu mpaka wapewe vyote?
Uzuri unawatosha. Ila mwanaume asipokua na hela sijui wenzangu mnaonaje huo uzuri wake
Ha ha ha huu uzi banaHhha hapa mie ni balozi wao...nawasemea ni kweli tupu..kweli kbs![emoji3531][emoji3531][emoji3531]! Alafu hawaoni shida kumpa mwanamke wake hela...wale warefi Sasa mnashindana na mwanamke kudanga upewe hela...kitu kitongaaaa[emoji854]
U🤣🤣🤣 mungu anakuonaSio hela tu wanaume ma handsome %kubwa wana vibamia
Mbona mie kafupi na sura pia ngumu ila sina hata miaWanaume wafupi pia wanakuaga na hela mno
Tangazo lako halijanivutiaNiko Hapa kwenye Baar moja, kuna hawa wapiga mziki wanapiga kwenye hiii baaar kuna Wimbo huo umepigwa Mzuri Sana wa sibabaishwi na suraaa napenda tabia njemaaaa, sasa Hapa kila meza ina mwanamke na mwanaume inaonesha hawa wenzangu ni wanawake wa pembeni maaarufu kidumu, sasa wanaume wooote ni wabaya kwa sura baraaa, Lakini wanamademu PC za Uhakika baada Ya huo Wimbo kupiga wametuliaaaa! Ili madume wao wapate hiyo message.
Lakini najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela? Maaana mmoja hapa nimeona kalipa bili laki na nusu ila Mimi nimetoka peke yangu.
Nyuzi nyingine watu wanaanzisha bar, washapendeza.Ha ha ha huu uzi bana
napinga kwa nguvu zote, wewe ungesemea ulokutana nao.Hii nakazia kabisa bila doubt yoyote
jaribu kwangu witHii nakazia kabisa bila doubt yoyote