Benzodiazepine
JF-Expert Member
- Oct 18, 2018
- 1,264
- 2,043
am every girl's size. Try me! 😋Mi sio size yako pita kushoto tu
am every girl's size. Try me! 😋Mi sio size yako pita kushoto tu
Sina mudi na hb's soreNjoo PM tafadhali....
Uringeam every girl's size. Try me! 😋
Pole sana[emoji3][emoji3]Sina mudi na hb's sore
afu wanawake mnaosemaga hivi uwanjani nyie ndo mnakimbiaga. 😋Fikiri utakavyo, ila huo ndo ukweli hb's ni bure kuanzia maisha ya kila siku mpk uwanjani ni weupe mnooo
Hapana sitaringa ila nitafurahi tu 😀Uringe
jama hata wewe! 😀😀😀😀He he kwani wamejibu nini hao mahandsome
madam tutake radhi pleas, unaweza kuwa sahih kwa ulokutana nao ila si kwa woteTangu
Tangu lini hb mkajua ku_omba!!!! Eti kazi kuwapangia ratiba ya kugegeda nyooooo!!!!
Hii comment bana!! 😀😀 Try me!! One night stand tu.Tangu
Tangu lini hb mkajua ku_omba!!!! Eti kazi kuwapangia ratiba ya kugegeda nyooooo!!!!
Haya maneno mnayatoaga wapi lakini😂😂😂😂We kama umekutana na bwana wako mwanaume wa kinondoni akiamka asbuhi anapaka mafuta kwenye matako mwambie aendelee sisi tunatafta hela kwa niaba yake
Ungejiuliza pia kwanini wanawake wenye makalio makubwa au sura nzuri wanatafunwa na kila mtuNiko Hapa kwenye Baar moja, kuna hawa wapiga mziki wanapiga kwenye hiii baaar kuna Wimbo huo umepigwa Mzuri Sana wa sibabaishwi na suraaa napenda tabia njemaaaa, sasa Hapa kila meza ina mwanamke na mwanaume inaonesha hawa wenzangu ni wanawake wa pembeni maaarufu kidumu, sasa wanaume wooote ni wabaya kwa sura baraaa, Lakini wanamademu PC za Uhakika baada Ya huo Wimbo kupiga wametuliaaaa! Ili madume wao wapate hiyo message.
Lakini najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela? Maaana mmoja hapa nimeona kalipa bili laki na nusu ila Mimi nimetoka peke yangu.
😂😂😂Kwani na wewe unasunbuliwa na upungufu wa chura makalioni (UCHUMA)?
😂😂😂😂😂😂😂😂Sikujua kumbe na wewe una kipaji cha kuimba taarab. Ngoja nikuunganishe na Mzee Yusuf ukakoleze kipaji chako.
Ila hakuna chemistry nzuri kama ya mwanaume mwenye sura kavu akutane na mwanamke kisura lakini anakalia mifupa...
Wakikdansi utadhani Fiat inavutwa na Passo.
😂 Jama yaani kama unaniona vile hapa nimevaa sneaker Adidas nyeupe na nipo napitia mkeka (Kubet) wangu hapa. Naandaa mkeka wa kesho EPL na BundesligaNawajua vyema kabisa..mtu serious huezi vaa raba nyeupe..maana akili yote itakuwa kuziprotect zisichafuke..ujinga huo
Pole wewe unamaintain uhb ili upapatikiwe na wanawakePole sana[emoji3][emoji3]
Hamna kitu na sitengui kauli, hamnishtui kbisa nawaonaga km mademu wenzangu tumadam tutake radhi pleas, unaweza kuwa sahih kwa ulokutana nao ila si kwa wote
Ni bonge la HB la kisukuma,sina time na wanawake wala nini ,nina ndoa ina miaka 10,niliwahi kuteleza kuchepuka miaka 7 imepita,hayo maisha niliishi miaka 15 iliyopita.siko unavyodhani..Pole wewe unamaintain uhb ili upapatikiwe na wanawake