Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,412
- 191,569
Hahahah kama hali ikiendelea hivi wacha tu ni multiply hussle zangu🤣🤣🤣 simu iwe busy zaidi ili mtoto wangu asije kupata tabu. Hicho kizazi kijacho kinatisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌...+mie weusi na uwe na mikono ya misuli+ndevu za kutosha na migadenlov😅😅...nakosaga neno..ntaongea Nini Sasa hapo!?sijui unanimanya!...yaan muda wowote hata ukipata chembe ya Moto unaweza nyanyuliwa nduki mgongoni😅😅
Mwanaume mwenye hela automatic anakufanya ukose kujishongondoa..simu zake zootw ni zamaana tu ..Mara apigiwe simu na madalali kuhusu viwanja...Mara apigiwe simu na benk kumkumbushia check yake Mara aambiwe kesho kutwa Kuna semina Njombe ...yaan Hakawii kukuamnia twende kibaha kuchek kiwanja ukanishauri...Sasa uje kwa ndugu zangu na mimi wale wengine ..akijua mwanamke anahela utasifiwa had kuchwe...kazi kunywa tu na kuparty..ukimchungulia simu yake anabet 😣😣...chini kavaa Raba nyeupeeeeeeeee utadhani ni form six leaver....pyeee...na kipensi kifupi anashindana na Wangari kuonesha mapaja🤣🤣🙌🙌! Ukienda washrooma jamaa unamkuta anajitizama kwa kioo🤸Deals zake Sasa...za kuunga unga unga Sana had kero..mechi zote analazimisha mchek😏😔! Oh hapana Asante jamani bye!