witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,770
Nijaribu nini?jaribu kwangu wit
Nijaribu nini?jaribu kwangu wit
Ha ha ha [emoji38]napinga kwa nguvu zote, wewe ungesemea ulokutana nao.
Nje ya madakuna msemo unasema "ukipewa ukilema unapewa na mwendo" huu msemo unawabeba sana wenye sura ngumu, means hua hawana cha kujivunia ndo maana wanatafuta pesa kutengeneza personality yao ili nao wapate chakujivunia
yeah na nina chuma cha mkoloni.Ha ha ha [emoji38]
We ni handsome mkuu?
Kama Tundu Lissu?Niko Hapa kwenye Baar moja, kuna hawa wapiga mziki wanapiga kwenye hiii baaar kuna Wimbo huo umepigwa Mzuri Sana wa sibabaishwi na suraaa napenda tabia njemaaaa, sasa Hapa kila meza ina mwanamke na mwanaume inaonesha hawa wenzangu ni wanawake wa pembeni maaarufu kidumu, sasa wanaume wooote ni wabaya kwa sura baraaa, Lakini wanamademu PC za Uhakika baada Ya huo Wimbo kupiga wametuliaaaa! Ili madume wao wapate hiyo message.
Lakini najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela? Maaana mmoja hapa nimeona kalipa bili laki na nusu ila Mimi nimetoka peke yangu.
Eb nione kapichayeah na nina chuma cha mkoloni.
mkuu sina uzi wa namna hiyo na hata siujui.Nje ya mada
Hivi mkuu ule uzi ulikuwa unajielezea ukiwa mdogo ulidumbukia na baiskeli kwenye miba, hivi unaitwaje nikumbushe mkuu
Aisee... kwahiyo sisi warefu.. hahaha haya banaHhha hapa mie ni balozi wao...nawasemea ni kweli tupu..kweli kbs![emoji3531][emoji3531][emoji3531]! Alafu hawaoni shida kumpa mwanamke wake hela...wale warefi Sasa mnashindana na mwanamke kudanga upewe hela...kitu kitongaaaa[emoji854]
Sio uzi wako ni comment anyway basi nitakuwa nimemix mafilemkuu sina uzi wa namna hiyo na hata siujui.
labda pmEb nione kapicha
Yes tupia mkuu usijalilabda pm
right, utakua umechanganya mkuu.Sio uzi wako ni comment anyway basi nitakuwa nimemix mafile
😅😅😅..wachache Sana wenye pesa!Aisee... kwahiyo sisi warefu.. hahaha haya bana
😅😅😅..wachache Sana wenye pesa!Aisee... kwahiyo sisi warefu.. hahaha haya bana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]Hhha hapa mie ni balozi wao...nawasemea ni kweli tupu..kweli kbs![emoji3531][emoji3531][emoji3531]! Alafu hawaoni shida kumpa mwanamke wake hela...wale warefi Sasa mnashindana na mwanamke kudanga upewe hela...kitu kitongaaaa[emoji854]
Warefu kazi zao ni kuvaa brands ili wanawake washiboke nao..Mara kapoteza hela kununua Balenciaga..Mara cape ya gharama...Sasa men mfupi Hana shobo hizi...! Mradi avae smart nduki kizitafuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]