Naibu Spika Dkt. Tulia: Jesca Kishoa hii kauli yako either uifute, ofisi ya Spika haina taarifa ya wewe kuondolewa kwenye chama chako

Kama waliwahitaji wapinzani bungeni wasingefanya waliyoyafanya mwishowe sasa wamekuwa ni vituko kwakweli.
 
Sisiem ndo hii bwana... hao wataondolewa taratiiib kabisa kwa namna ya kutokumchafua mkuu (asionekane kama yeye ndiye aliyekuwa anawabeba)

Tena usikute hata huyo kaagizwa kutengeneza njia ya kutokea tu. Huu ni mpango mnene na unachezwa kinene Tulia anajua Job anajua na wenyewe wahusika wameshapangwa

Kwa mantiki hiyo usishangae akijitokeza mwingine kati yao na kufanya au kusema jambo ambalo litaibuka na hoja kama hiyo au inayofanana kabisa na hiyo ilimradi tu mpaka ifikie hatua waonekane ni lazima kuenguliwa
 
Ukiwa muongo unapaswa kuwa na kumbukumbu sana (Liars must have a good memory). Bibi Tulia anadaia hajapata barua kutoka Chadema inayoonesha kuwa wanawake 19 walioko bungeni, walifukuzwa uanachama. Anasema wangekua wamefukuzwa wasingepaswa kuwepo bungeni maana ni kinyume cha Katiba.

Sasa tumemsaidia kumkumbusha kwamba barua ilitumwa na ilipokelewa ofisi ya Spika tarehe 1/12/2020 tena kwa dispach. Pia nakala ilitumwa NEC na kupokelewa kwa diapatch siku hiyohiyo 1/12/2020 saa saa 7:12 mchana.

Kwa kuwa Tulia ametamla kwamba ikiwa akina Kishoa wamefukuzwa uanachama hawapaswi kuwepo bungeni, basi apitie mafaili hapo ofisini ataona barua ya Chadema iliyotumwa 1/12/2020 halafu afanye maamuzi kwa mujibu wa Katiba.
Baada ya hapo jopo la wanasheria wa Chadema liwaburuze mahakamani Bwana Ndugai na Bibi Tulia kwa kutumia rasilimali za umma kulipa mishahara, posho na marupurupu kwa watu wasio wabunge kwa miezi 6. Huu ni uhujumu uchumi.!





Comment


Share
Hayo yote yatawezekana ila siyo kuwapeleka mahakamani
 
Halina taarifa. Mbona viongozi wenu mpaka leo hawajajadili rufaa ya hao wabunge?

Staki kuamini Kama bunge halina taarifa za kuvuliwa uanachama kina Jesca na wenzake, ila wakumbuke tu kuwa hi ni awamu nyingine kabisa. Kuna kila dalili wanaweza kutimuliwa mjengoni
 
Kama waliwahitaji wapinzani bungeni wasingefanya waliyoyafanya mwishowe sasa wamekuwa ni vituko kwakweli.
Kama waliwahitaji wapinzani bungeni wasingefanya waliyoyafanya mwishowe sasa wamekuwa ni vituko kwakweli.
Jesca Kishoa anajaribu kutupa picha ya ndani kabisa ya Covid 19 na kupeleka ujumbe kwa Bunge, Viongozi wa Chadema na wanachama wao kuwa ingawa wapo Bungeni lakini wao sio halali kisheria na wote hao wafanye maamuzi ya hatima yao vile watakavyoona inafaa, wale wa Ndugai wabaki nae na wale wa Mbowe watoke nje kitu ambacho ni kweli kuwa Covid 19 ina watu ambao mpaka leo ni waaminifu 100% kwa chama chao CDM, mipango hii ya kuingiza Covid bungeni ilifanywa na watu wachache sana wakiongozwa na Mzee ambaye kwa kutafuta uungwaji mkono aliweza kuinjinia kuorodhesha na mahabusu ambao walikuwa hawajui chochote zaidi ya kuelezwa kuwa kuna suprise tunakupatia,

Ngoja tuone kwani Pascal Mayalla naye anadai kuwa KK ya chadema itawasamehe kwani kuna udugu wa karibu mno kati ya hao Covid na Uongozi wa Chadema kuliko alivyo shetani na dhambi zote za dunia hii
 
Tusubirie mama akisharuhusu mikutano ya kisiasa,twone watavaa jezi za chama kipi wasimamapo majukwaani.
Hakuna kuruhusu Mikutano ya Vyama kama hakuna Uchaguzi husika, hapa ni kusubiri 2024 serikali za Mitaa na 2025 Uchaguzi Mkuu
USA hata Germany Mikutano hufanyika siku husika
ukiwaachia hawa CHADEMA wataanza kuropoka ya Ubelgiji na kumsumbua Mama Samia
 
Nilichogundua CCM kupitia Spika inatumia nguvu kubwa kuwatetea akina Halima Mdee na wenzake huku wao wenyewe wakiwa wamerelax.

Tena sijasikia Wanawake kutoka kundi lolote nchini liwe la kisiasa au kidini likiwatetea akina Halima Mdee bali wanaume wa CCM ndio wanapiga vita mfumo dume uliopo Chadema.

Hata Cecil Mwambe mwaka jana alishangaa kwanini yuko bungeni wakati ameshajivua uanachama wa Chadema.

Ngoja nimsikilize Rais Samia akilihutubia bunge leo.

Kazi Iendelee!
 
Back
Top Bottom