Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 167,201
- 185,484
Pole sana.
1. Fikiri kabla ya kunena...
2. Ukikasirihswa na kitu, usikichukulie hatua hapo hapo, jipe muda kwanza wa kutulia...
3. Pendelea kufanya mazoezi. Unaweza ukaweka vitu kwako kama ka- panching bag kadogo, Kuna ile mipira mikubwa sana kama maputo chezea yale yanasaidia pia.
4. Pendelea kutafuta njia rahisi na nyepesi za kutatua matatizo yako ukiwa na hasira.
5. Nenda bafuni jifungie, lia mpaka utosheke ukimaliza oga maji ya moto, inasaidia pia.
1. Fikiri kabla ya kunena...
2. Ukikasirihswa na kitu, usikichukulie hatua hapo hapo, jipe muda kwanza wa kutulia...
3. Pendelea kufanya mazoezi. Unaweza ukaweka vitu kwako kama ka- panching bag kadogo, Kuna ile mipira mikubwa sana kama maputo chezea yale yanasaidia pia.
4. Pendelea kutafuta njia rahisi na nyepesi za kutatua matatizo yako ukiwa na hasira.
5. Nenda bafuni jifungie, lia mpaka utosheke ukimaliza oga maji ya moto, inasaidia pia.
