Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Pole sana.

1. Fikiri kabla ya kunena...
2. Ukikasirihswa na kitu, usikichukulie hatua hapo hapo, jipe muda kwanza wa kutulia...
3. Pendelea kufanya mazoezi. Unaweza ukaweka vitu kwako kama ka- panching bag kadogo, Kuna ile mipira mikubwa sana kama maputo chezea yale yanasaidia pia.
4. Pendelea kutafuta njia rahisi na nyepesi za kutatua matatizo yako ukiwa na hasira.
5. Nenda bafuni jifungie, lia mpaka utosheke ukimaliza oga maji ya moto, inasaidia pia.
 
Pombe usinywe.. vuta bangi sikiliza mimbo ya zamani ulio kuwa unaipenda wakati huo.

Binafsi nikiwa na hasira navuta bange nusu kisha nasikiliza mimbo ya zamani kama Rasta wake up ya Senzo. Moyo unatulia na nakuwa na Amani kisha nakuwa na moyo wa kusamehe kiroho safi kabisa.
Yesuu
 
Yaani hapo jitahidi ukikasirika usiwaze pombe mamy, mie huwa naliaga tuu na naenda sehemu iliyotulia mwenyewe kama masaa mawili narudi nyumbani. Namshukuru Mungu sijui ladha ya pombe
Sasa unakuwa unaona ni kimbilio mi naweza kupiga bia from moning to mornin staki kuwaza chochote shida inakuja pale ninapoamka na hangover


Nakuwa najioa matatizo yameisha wakati napiga bia counter na kupiga story mingi na kupigavwatu ofa
 
mapenzi yana maudhi
mudavhuu shemela wako anahemea oxygen baada ya kumletea undava.... Kanijibu jambo lakawaida ila medula yangu imempa hukumu mbaya hahahaha na mie napiga mbuyu aka safari laga sitak hata kuskia mamesej yake yananipa kichefuchefu
 
Naomba nielewe kitu kabla sijakushauri

ukipata hasira ndo unaenda kunywa ili ulewe na uzime?
na ukishazima unaliwa? na yoyote alie karibu?
ndo hasira zinaisha after ?

nieleweshe hapo kwanza
Interesting... Huwa unapata hasira kiaha unaingia kaunta... Mi na aimu huwa natupa huko maana ukipiga naweza kukutukana kabisaa
 
Hio hali ni hali ambayo unaweza kuibadilisha, hasira unaweza kuibadilisha wewe mwenyewe tena kwa kupuuzia tu, kuwa aah kwani kitu gani, najikumbuka mimi mwenyewe nilikuwa nina hasira sana, nyumbani balaa ni kila wakati sitaki kuonewa na rafiki wala kaka wala dada angu, lakini huwezi amini nimejicontrol mpk sasahivi nimekuwa raia wa kawaida kabisa, ata unifanye nini sina time kabisa, tabia hio ukiwa nayo inaendana na kukosa usingizi unakuwa mtu wa mawazo usiku kucha, nimeacha vyote ata unifanye nini sshivi nakoroma tuu yaani nasahau kabisa kama ulinifanya kitu, kwaiyo jicontrol tu, maana hio hali ni hatari kwa afya yako na kwa sifa ya mtoto wa kike
Siivrahisi mkuu mimi nakasirika na tapika mwaka 2006 niliwahi kukasirika nikazimia nikajikutabhispital na drip mbili
 
Ule utafiti wa 4 by 2 unajidhihirisha....

yani mtu unaanza tu kasirika. How hopelessness. !!
 
pole dada,mwenyewe nilikuwa ivo...ilifikia hatua mkuu wangu kazn akinikera nilikuwa napanda juu ya meza au kiti kutukana au kutaka kumrukia afu huku nalia.Dawa kuu ni kuweka iman katika roho mtakatifu na kutambua kuwa ufanyayo unakosea....jifunze kuacha kila kitu kiende...acha kipite hata kama no quallel ya namna gan
 
mudavhuu shemela wako anahemea oxygen baada ya kumletea undava.... Kanijibu jambo lakawaida ila medula yangu imempa hukumu mbaya hahahaha na mie napiga mbuyu aka safari laga sitak hata kuskia mamesej yake yananipa kichefuchefu
 
Inasikitisha sana..

siku ukiwa huna hela ya pombe ndo wanaume tutatukanwa na ubahili wetu mpaka vibamia. hahahahaha.

poleni. piga goti omba Mungu akupe Soulmate.
 
Sasa unakuwa unaona ni kimbilio mi naweza kupiga bia from moning to mornin staki kuwaza chochote shida inakuja pale ninapoamka na hangover


Nakuwa najioa matatizo yameisha wakati napiga bia counter na kupiga story mingi na kupigavwatu ofa
Pole
 
I know what you should do. Can i put it here or PM.
Speaking from experience from someone i know but now she is perfectly okey.
 
Habari zenu wakuu.

Ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..

kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..

wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.

nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.

asanteni
Unahitaj maombi ndugu..!!
Af uokoke.. xawaaa eee
 
Back
Top Bottom