Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,648
- 4,204
miss chaga kwa uongo!!!amewai kumuacha kwenye mataa jamaa mmoja pale MABATINI-MBEYA
Wasemavyo wao,kila binadamu ana kichaa sema tuna tofautiana!Dawa za vichaa zipo hasa kweny hosp za kubwa za serikal nina uhakika hosp moja moshi Mawenzi wanazo dawa z kutuliza ukichaa kuna mmama namjua huwa kila mwez anakwnd kuchukua hizo dawaUtakuwa na ugonjwa wa ukichaa au kwa jina la Kizungu wanaita Bordeline Personality Disorder (BPD) nakushauri kama upo Bongo uende kwa Kitila Mkumbo yeye ana PhD ya psychology labda atakusaidia kidogo lkn ni ngumu sana kupata tiba yake hapa Bongo kwani hatuna hawa Wataalamu!
Wanasema hii inatokana na madhara ambayo uliyapata wkt ukiwa mtoto, labda ulibakwa au kuteswa kwa ujumla ulikosa mapenzi utotoni ambapo mtoto wa kawaida hupata ktk kwa Wazazi au Walezi vile vile kuna kurithi wengine hurithi huo ukichaa ulio nao hivyo angalia kwenye familia yako kama mna asili ya ukichaa basi hapo na wewe utakuwa umerithi na hapo hakuna kitu utafanya, ningekushauri usianzishe mahusiano ya kimapenzi ili kutokuwadhuru wengine, nilishwahi kuwa na Demu mwenye huo ukichaa, hivyo najua ninachokiongelea!
Ndio nakipuliza hapa karibuIle Sacrament inatakiwa ipewe Nobel Peace Price, inawafanya watu kuwa watulivu na wenye amani sana aisee.
AminaUnahitaj maombi ndugu..!!
Af uokoke.. xawaaa eee
miss chaga kwa uongo!!!amewai kumuacha kwenye mataa jamaa mmoja pale MABATINI-MBEYA

ile inaitwa 2 among 4Ule utafiti wa 4 by 2 unajidhihirisha....
yani mtu unaanza tu kasirika. How hopelessness. !!
Spirit of hunger(sijui spelling ni sawa)asante mkuu nataka kupona
Utakuwa na ugonjwa wa ukichaa au kwa jina la Kizungu wanaita Bordeline Personality Disorder (BPD) nakushauri kama upo Bongo uende kwa Kitila Mkumbo yeye ana PhD ya psychology labda atakusaidia kidogo lkn ni ngumu sana kupata tiba yake hapa Bongo kwani hatuna hawa Wataalamu!
Wanasema hii inatokana na madhara ambayo uliyapata wkt ukiwa mtoto, labda ulibakwa au kuteswa kwa ujumla ulikosa mapenzi utotoni ambapo mtoto wa kawaida hupata ktk kwa Wazazi au Walezi vile vile kuna kurithi wengine hurithi huo ukichaa ulio nao hivyo angalia kwenye familia yako kama mna asili ya ukichaa basi hapo na wewe utakuwa umerithi na hapo hakuna kitu utafanya, ningekushauri usianzishe mahusiano ya kimapenzi ili kutokuwadhuru wengine, nilishwahi kuwa na Demu mwenye huo ukichaa, hivyo najua ninachokiongelea!
Habari zenu wakuu.
Ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..
kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..
wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.
nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.
asanteni
Ah! Sasa huyo si amesarenda mwenyewe unaachana nae,presha ya nn...Hahaha hapana kama kakuudhi kwenye cm akakublock au kuizima
Mkuu, unataka um-cancel Miss Chagga. Aisee hatukubali tena ushindwe na ulegeeNatafute nikufanyie cancelling


...Asante mtumishi nitatafuta damu ya yesuSpirit of hunger(sijui spelling ni sawa)
Hapa bila damu ya Yesu dear wangu hii hali itakua inarudia!