Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

miss chaga kwa uongo!!!amewai kumuacha kwenye mataa jamaa mmoja pale MABATINI-MBEYA
 
Utakuwa na ugonjwa wa ukichaa au kwa jina la Kizungu wanaita Bordeline Personality Disorder (BPD) nakushauri kama upo Bongo uende kwa Kitila Mkumbo yeye ana PhD ya psychology labda atakusaidia kidogo lkn ni ngumu sana kupata tiba yake hapa Bongo kwani hatuna hawa Wataalamu!

Wanasema hii inatokana na madhara ambayo uliyapata wkt ukiwa mtoto, labda ulibakwa au kuteswa kwa ujumla ulikosa mapenzi utotoni ambapo mtoto wa kawaida hupata ktk kwa Wazazi au Walezi vile vile kuna kurithi wengine hurithi huo ukichaa ulio nao hivyo angalia kwenye familia yako kama mna asili ya ukichaa basi hapo na wewe utakuwa umerithi na hapo hakuna kitu utafanya, ningekushauri usianzishe mahusiano ya kimapenzi ili kutokuwadhuru wengine, nilishwahi kuwa na Demu mwenye huo ukichaa, hivyo najua ninachokiongelea!
Wasemavyo wao,kila binadamu ana kichaa sema tuna tofautiana!Dawa za vichaa zipo hasa kweny hosp za kubwa za serikal nina uhakika hosp moja moshi Mawenzi wanazo dawa z kutuliza ukichaa kuna mmama namjua huwa kila mwez anakwnd kuchukua hizo dawa
Pole Miss chagga
 
may be kuna jambo/tukio lisilo zuri liliishawahi kuutokea ukiwa mdogo na kukuweza kulimudu maana hukuwa na uwezo huo.
Sasa basi kubali hayo ni mapungufu, jikubali na hiyo kasoro.
Unatakiwa kuwa na mtu unayemuamini ambaye unaweza hata kumueleza mambo yako ya ndani, anaweza akawa ndugu au rafiki, muweke wazi juu ya hilo ila kwa tahadhali..
Mtu unaweza kuwa na hasira na usikate kuongea na mtu yeyote yule but lazima yupo tu ambaye atahisi ukiwa ukiongea naye utajisikia vizuri, huyo ndio tiba yako.
Pia kama mtu mzima lazima ujue kuwa pombe si suluhisho hata kidogo, jiulize umefaidika nini baada ya kunywa hizi pombe zaidi ya kupoteza tu pesa na muda wako huku ukiharibu afya yako..!!!
Itambue furaha yako, kama ni kuchat, kuimba, kusikiliza music, kukaa beach ukipunga upepo, kupiga stori, n.k na uitafute hiyo furahi kila ukiudhiwa na mtu.
 
Utakuwa na ugonjwa wa ukichaa au kwa jina la Kizungu wanaita Bordeline Personality Disorder (BPD) nakushauri kama upo Bongo uende kwa Kitila Mkumbo yeye ana PhD ya psychology labda atakusaidia kidogo lkn ni ngumu sana kupata tiba yake hapa Bongo kwani hatuna hawa Wataalamu!

Wanasema hii inatokana na madhara ambayo uliyapata wkt ukiwa mtoto, labda ulibakwa au kuteswa kwa ujumla ulikosa mapenzi utotoni ambapo mtoto wa kawaida hupata ktk kwa Wazazi au Walezi vile vile kuna kurithi wengine hurithi huo ukichaa ulio nao hivyo angalia kwenye familia yako kama mna asili ya ukichaa basi hapo na wewe utakuwa umerithi na hapo hakuna kitu utafanya, ningekushauri usianzishe mahusiano ya kimapenzi ili kutokuwadhuru wengine, nilishwahi kuwa na Demu mwenye huo ukichaa, hivyo najua ninachokiongelea!

Huko ulipomwelekeza ni chaka kabisa! Ndo kwanza kichaa kitaongezeka. Kwani hakuna psychologist wa kike UDSM nzima? Kwa nini asiende kwa Mama Tungaraza (PhD)?
 
Habari zenu wakuu.

Ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..

kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..

wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.

nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.

asanteni

Ndo maana hukuniPM jana!Dah pole
 
Daah pole dada angu!
Nakushauri tu UOKOKE
sahau kuhusu pombe na kila kitu cha dunia hii, havitakuwa faraja ya kweli
Zaburi 121:1-2
 
Kumbe kweli ndo mana watu wanasema kuoa mchaga ni kujitafutia kifo nimemkumbuka kanumba na yule mmachame Lulu
 
Nipime nikuunganishe Na group la type Yako hata Mimi nilikuwa ivyo but imenitoka pole pombe hausaidii bt uongeza tatizo
 
Back
Top Bottom