Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Kuna kitu kinakustress,sasa lazima tujue,umeolewa,una mtoto ,watoto,uchumi ukoje,lifestyle,makuzi yako labda uliwahi kudhalilisha kijinsia ukiwa mdogo,
wazazi wako wapo hawapo.,labda ulishuhudia mamako akinyanyaswa na baba,au labda walikuacha ungali mdogo ukalelewa na mama wa kambo kwa manyanyaso etc,

kama tatizo liko serious,lazima background yako itambuliwe ili mtu ajue namna ya kukusaidia.

Ila kama tatizo liko skindeep,pengine frustration za maisha zinachangia tu,so you need to relax and take easy kwa kila kitu,
swali ulilouliza la uzalilishaji hilo nilishasamehe mkuu ..
 
Yaani hapo jitahidi ukikasirika usiwaze pombe mamy, mie huwa naliaga tuu na naenda sehemu iliyotulia mwenyewe kama masaa mawili narudi nyumbani. Namshukuru Mungu sijui ladha ya pombe
 
Ukiwa na hasira jitaidi kuhesabu mpaka mia kwa kingereza na kiswahili.

Ukiona bado una tatizo ilo vuta bange kisha sikiliza music. Trust me hutajutia na utakuwa mwepesi wa kusamehee.
Acha kumfundisha mwenzako kuvuta madawa ya kulevya.

bora unywe zako pombe achana na Bangi
 
nakunywa pombe sana ili niliwe nizime nilale (naamini hapa ulimaanisha ulewe na sio uliwe)
solution sasa.....
1. jaribu kuonyesha hisia zako mara pale mtu anapokukwaza kwa maana jinsi unavyokaa navyo moyon ndio unavyozid kujenga chuki na hasira juu ya hilo jambo
2. kukaa ndan na kunywa pombe wont do any good to you since unakua unahamisha muda wa hasira zako kama ilvyoelezwa namba moja hapo juu la msing unapokua na hasira jaribu kukaa mazingira au na watu ambao watakufanya uwe na furaha.
3. usiruhusu hali ya mtu kukukera mpka unafikia hatua ya kukasirika ukiona kuna mazingira ya wewe kupandwa na hasira jarbu kukaa nae mbali au kubadili aina ya mazungumzo.
4. tafuta mtu / watu unaweza kuwaamin na kuwaambia jinsi unavyojiskia jinsi ya jambo fulan ambalo una waswas linaweza kukuweka kwenye mazingira ya kupandwa na hasira.
5.fanya kitu unachopenda na ambacho kitachukua akili na concetration yako muda ambao una hasira.
6. sali na muombe mungu wako uondokane na hyo hali ya kua na hasira.
7. hayo yote hap juu yanawezekana if n only if ukiaamua kuachana na hasira otherwise hata rehab wont help you by any means.
asante mkuu nafanyia kazi
 
Pole sana...inaonekana wewe ni sehemu ya statistics....katika kila watanzania wanne....mmoja ni....
 
Yaani hapo jitahidi ukikasirika usiwaze pombe mamy, mie huwa naliaga tuu na naenda sehemu iliyotulia mwenyewe kama masaa mawili narudi nyumbani. Namshukuru Mungu sijui ladha ya pombe

Yaani una mawazo mob afu unaenda sehemu iliyotulia? si ndio unaongeza mawazo? mie nikiwa na mawazo naenda zangu club napiga zangu vyombo vyakutosa
 
Yaani una mawazo mob afu unaenda sehemu iliyotulia? si ndio unaongeza mawazo? mie nikiwa na mawazo naenda zangu club napiga zangu vyombo vyakutosa
Ndio, sehemu ambayo haina kelele kabisaaa, halafu mie sio muumini wa pombe.
 
Utakuwa na ugonjwa wa ukichaa au kwa jina la Kizungu wanaita Bordeline Personality Disorder (BPD) nakushauri kama upo Bongo uende kwa Kitila Mkumbo yeye ana PhD ya psychology labda atakusaidia kidogo lkn ni ngumu sana kupata tiba yake hapa Bongo kwani hatuna hawa Wataalamu!

Wanasema hii inatokana na madhara ambayo uliyapata wkt ukiwa mtoto, labda ulibakwa au kuteswa kwa ujumla ulikosa mapenzi utotoni ambapo mtoto wa kawaida hupata ktk kwa Wazazi au Walezi vile vile kuna kurithi wengine hurithi huo ukichaa ulio nao hivyo angalia kwenye familia yako kama mna asili ya ukichaa basi hapo na wewe utakuwa umerithi na hapo hakuna kitu utafanya, ningekushauri usianzishe mahusiano ya kimapenzi ili kutokuwadhuru wengine, nilishwahi kuwa na Demu mwenye huo ukichaa, hivyo najua ninachokiongelea!
Braza umesema ulishakiwa na demu mwenye hali hii.... vip ulikabilianaje na hali yake hiyo?
 
Hilo ttzo hata mm ninalo ila jitahid sana kusoma vitabu na cku utakapoamua kupunguza hasira itakua ndiyo mwisho, nilishawahi kumkata mdogo wangu na Mndo au ishame. umenipata, J from vunjo.
 
Pombe usinywe.. vuta bangi sikiliza mimbo ya zamani ulio kuwa unaipenda wakati huo.

Binafsi nikiwa na hasira navuta bange nusu kisha nasikiliza mimbo ya zamani kama Rasta wake up ya Senzo. Moyo unatulia na nakuwa na Amani kisha nakuwa na moyo wa kusamehe kiroho safi kabisa.
Yaani wewe mtu ni mvuta bangi mzuri au muuza bangi sasa unatafuta wateja.

bangi si nzuri kabisa achana nayo
 
Hilo ttzo hata mm ninalo ila jitahid sana kusoma vitabu na cku utakapoamua kupunguza hasira itakua ndiyo mwisho, nilishawahi kumkata mdogo wangu na Mndo au ishame. umenipata, J from vunjo.
nimekupata aisee mi naogopa damu
 
asante mkuu nataka kupona
Ndg. Una maradhi yanayoitwa Mood Swing !! hiyo hutokana na misongo isiyo isha.. Sasa tulizana.. Tiba ikikuvamia pale ulipo ingia bafuni ujimwagie maji!!! Kama wee ni mwiSilam basi chukuwa udhu haraka... God bless you na good luck!!
 
Pole sana Binti.

jaribu kufata ushauri uliopewa huko juu na wadau. na uufanyie kazi pole sana.

siku ukitaka kulewa nitafute tukalewe wote mimi ntakunywesha tu.
Mzee wa songea

Mambo vipi?
 
Back
Top Bottom