Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Habari zenu wakuu.

Ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..

kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..

wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.

nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.

asanteni
Mama Temba,kumbuka alcohol abuse or binge drinking sio kitu kizuri,coz inasababisha unstable personality due to chemical imbalance in the brain,unajikuta ni mtu usietabirika,asubuhi unawaeza kuwa mchanganfu,ifikapo jioni unakuwa na dhiki kupita maelezo,usiku unajikuta uko neutral etc,etc,alcohol ni depressant,hivyo hukusababishia msongo wa mawazo wakati ukiwa sober,jitahidi kunywa alcohol in moderation huku ukijiadjust in variably.
 
Naomba nielewe kitu kabla sijakushauri

ukipata hasira ndo unaenda kunywa ili ulewe na uzime?
na ukishazima unaliwa? na yoyote alie karibu?
ndo hasira zinaisha after ?

nieleweshe hapo kwanza
Interesting,hahaaaa ati akilewa analiwa na yoyote alie karibu,.,........
 
Habari zenu wakuu.

Ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..

kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..

wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.

nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.

asanteni

Samahani, una miaka mingapi??
 
Pole sana, kwanza usitegemee mazuri tu, tegemea na mabaya pia. Utandewa mazuri na baya so lolote likitokea utanaona ni kwaida ya mambo. Pili yachukulia mambo kimzaha, hata unapoongea na mtu chukulia kama mnafanya mzaha, pale atakopokuuzi utaona ni sehemu ya mzaha. Tatu kama unaongea na mtu ktk simu ikafikia hatua uka/akakasirika kata simu kwanza subiri kwa dak 1 then mpigie tena. Nne usipende mabishano, kama mtu amekukukosea usijibizane nae. Tano usijaji maneno ya mtu mwenye hasira, mtu mwenye hasira huongea lolote lililo mbele yake. Sita usipende kuombwa msamaha mtu akikukosea, ukiombwa au usipoombwa msamaha we chukulia poa, kwani kuomba msamaha ni hiyari ya mtu si lazima.Saba na la muhimu sana hakuna binadamu aliye mkamimilifu, hivyo tegemea kukosewa sana, na mtu akikosea ni sehemu ya ubinadamu, kwani makosa hayakuanzia duniani yalianzia mbinguni shetani alipomkosea mungu na Adam alipokula tunda wote walitupwa dunia. Sababu ya ss kuletwa duniani ni kwa sababu ya makosa. So makosa ni asili ya binadamu.
 
Habari zenu wakuu.

Ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..

kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..

wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.

nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.

asanteni

kumbe ni manka dada angu..uwii mboha nai vavae...hakika omba na mwezi huu wa rosali mwombe mama Maria akutoe katika dimbwi la hasira akakupe roho ya uvumilivu ,busara na hekima na uhakika ukiomba Mungu wetu anasikia lazima utafunguka tuu..jitahidi kwenda kwenye makongamano ya kiroho kama ya hapa ubungo Emause upate muda wakuombeee
 
Pole sana, kwanza usitegemee mazuri tu, tegemea na mabaya pia. Utandewa mazuri na baya so lolote likitokea utanaona ni kwaida ya mambo. Pili yachukulia mambo kimzaha, hata unapoongea na mtu chukulia kama mnafanya mzaha, pale atakopokuuzi utaona ni sehemu ya mzaha. Tatu kama unaongea na mtu ktk simu ikafikia hatua uka/akakasirika kata simu kwanza subiri kwa dak 1 then mpigie tena. Nne usipende mabishano, kama mtu amekukukosea usijibizane nae. Tano usijaji maneno ya mtu mwenye hasira, mtu mwenye hasira huongea lolote lililo mbele yake. Sita usipende kuombwa msamaha mtu akikukosea, ukiombwa au usipoombwa msamaha we chukulia poa, kwani kuomba msamaha ni hiyari ya mtu si lazima.Saba na la muhimu sana hakuna binadamu aliye mkamimilifu, hivyo tegemea kukosewa sana, na mtu akikosea ni sehemu ya ubinadamu, kwani makosa hayakuanzia duniani yalianzia mbinguni shetani alipomkosea mungu na Adam alipokula tunda wote walitupwa dunia. Sababu ya ss kuletwa duniani ni kwa sababu ya makosa. So makosa ni asili ya binadamu.
Amen na asante mkuu
 
Jina lako si miss chagga kwa maana wewe ni Mchaga?! Wala usipate shida, nadhani Wachaga mna genes za mihasira! Nishawahi kuwa na totoz za Kichaga mara mbili; na wote full mihasira! Nilikuwa nawapendaga hao balaa manake nina aleji na wasichana wananyonge wanyonge! Kama unadhani nadanganya; tafuta kwenye familia yenu... ni nani hana hasira.
 
Mama Temba,kumbuka alcohol abuse or binge drinking sio kitu kizuri,coz inasababisha unstable personality due to chemical imbalance in the brain,unajikuta ni mtu usietabirika,asubuhi unawaeza kuwa mchanganfu,ifikapo jioni unakuwa na dhiki kupita maelezo,usiku unajikuta uko neutral etc,etc,alcohol ni depressant,hivyo hukusababishia msongo wa mawazo wakati ukiwa sober,jitahidi kunywa alcohol in moderation huku ukijiadjust in variably.
Sawa baba temba
 
Umekuja kutoa siri humu,roho imeniuma sana baby,eti wanajamii wanakushauri ufanye mapenzi kwa sana,daah wangejua usiku kucha hatulali mautamu kwa kwenda mbele,sasa sijui labda haufiki Kibo hut au ?
Baba temba wanasema Changanya na zako
 
Back
Top Bottom