Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Ukiwa na hasira jitaidi kuhesabu mpaka mia kwa kingereza na kiswahili.

Ukiona bado una tatizo ilo vuta bange kisha sikiliza music. Trust me hutajutia na utakuwa mwepesi wa kusamehee.
ha haha mkuu niongeze na bangi si bora pombe
 
Inategemea kwa kawaida hauna Tiba hasa inapokuwa kama umerithi kwa maana ni genetic yaani iko kwenye DNA code yako, hivyo unaweza tu kuishi nao, ndiyo maana nakushauri ujichunguze kama ni kweli una hiyo basi usianzishe mahusiano (kimapenzi) na mtu, na jaribu tu kukubali hali halisi na kuishi nayo!
Haa! ataishije bila kuwa na mahusiano mkuu? kuwa na familia ni jambo la muhimu sana japo si lazima pia
 
nakunywa pombe sana ili niliwe nizime nilale (naamini hapa ulimaanisha ulewe na sio uliwe)
solution sasa.....
1. jaribu kuonyesha hisia zako mara pale mtu anapokukwaza kwa maana jinsi unavyokaa navyo moyon ndio unavyozid kujenga chuki na hasira juu ya hilo jambo
2. kukaa ndan na kunywa pombe wont do any good to you since unakua unahamisha muda wa hasira zako kama ilvyoelezwa namba moja hapo juu la msing unapokua na hasira jaribu kukaa mazingira au na watu ambao watakufanya uwe na furaha.
3. usiruhusu hali ya mtu kukukera mpka unafikia hatua ya kukasirika ukiona kuna mazingira ya wewe kupandwa na hasira jarbu kukaa nae mbali au kubadili aina ya mazungumzo.
4. tafuta mtu / watu unaweza kuwaamin na kuwaambia jinsi unavyojiskia jinsi ya jambo fulan ambalo una waswas linaweza kukuweka kwenye mazingira ya kupandwa na hasira.
5.fanya kitu unachopenda na ambacho kitachukua akili na concetration yako muda ambao una hasira.
6. sali na muombe mungu wako uondokane na hyo hali ya kua na hasira.
7. hayo yote hap juu yanawezekana if n only if ukiaamua kuachana na hasira otherwise hata rehab wont help you by any means.
 
ha haha sawa mkuu
nimewahi kumchioma mtu visu
nimewahi kumkata mtu vidode
nimewahi kumpiga mtu chupa za bia km 10
housegirl wangu alinizingua defender lilihamia mtaani
nilishambutua mwanamke mmoja mchepuko wa bwana wangu zamani nikavunja karibu vitu vyote baa nzima '''' yesu kristu wa nazaret .. bint yangu ananisemesha akiwa amesimmama mita kadhaa maana anajua mama mkali nikiwepo huwa anatii sheria hahaha'

mpangaji mwenzangu wa kiume aliniletea uswahili hahahaha mpaka leo tunaheshimiana.. wakike tunasalimiana tu tunapishana sitaki mazoea nao maana wanawake na majungu ntawekwa kwenye nondo

nikichukia navunja vitu, nalia.. ama natapika pamoja na kujikata wakati mwingine damu ikitoka napata ahueni

nina hasira za papo kwa papo lakini pia ni mwenye huruma sana na sipendi kukasirisha WENGINE
 
pole sana miss chaga.me mke wangu yupo hivyo ilitokea kipindi cha mimba analipiga tumbo lake mangumi na kunyofoa nywele zake .hata baada ya kumzaa huyu mtoto amefata hizo hasira za mamake huwa akikasirika anabamiza kichwa chini ila nashukuru mungu sasa hivi amepunguza hasira imebaki kwenye vitu vya ndani kama simu,tv na vyombo.nilimleta ustaadh kutoka kigoma kweli mtoto na mama yke walipandisha shetani na yakatolewa.ila hasira zao bado zipo.hivyo sitaki kuwaudhi isipokuwa nawakanya huku nawafanyia utani vile naona inasaidia kiasi flani.
 
ha haha mkuu niongeze na bangi si bora pombe

Pombe usinywe.. vuta bangi sikiliza mimbo ya zamani ulio kuwa unaipenda wakati huo.

Binafsi nikiwa na hasira navuta bange nusu kisha nasikiliza mimbo ya zamani kama Rasta wake up ya Senzo. Moyo unatulia na nakuwa na Amani kisha nakuwa na moyo wa kusamehe kiroho safi kabisa.
 
Kaombewe kama kweli umedhamiria kuacha hiyo tabia,usipobadilika na kuacha maradhi yataanza kukunyemelea very soon kwani watu wengi wenye tabia hiyo mwisho wao hauwi mzuri.
 
nimewahi kumchioma mtu visu
nimewahi kumkata mtu vidode
nimewahi kumpiga mtu chupa za bia km 10
housegirl wangu alinizingua defender lilihamia mtaani
nilishambutua mwanamke mmoja mchepuko wa bwana wangu zamani nikavunja karibu vitu vyote baa nzima '''' yesu kristu wa nazaret .. bint yangu ananisemesha akiwa amesimmama mita kadhaa maana anajua mama mkali nikiwepo huwa anatii sheria hahaha'

mpangaji mwenzangu wa kiume aliniletea uswahili hahahaha mpaka leo tunaheshimiana.. wakike tunasalimiana tu tunapishana sitaki mazoea nao maana wanawake na majungu ntawekwa kwenye nondo

nikichukia navunja vitu nalia ama natapika pamoja ana kujikata wakati mwingine damu ikitoka napata ahueni

nina hasira za papo kwa papo lakini pia ni mwenye huruma sana na sipendi kukasirisha WENGINE
we umenizidi mi charming sana yeyote anaweza nitania bila woga ndiyo maana napo kasirika wengi hawaamini na huwa natetewa sana hata kama mi ni mgomvi
 
nimewahi kumchioma mtu visu
nimewahi kumkata mtu vidode
nimewahi kumpiga mtu chupa za bia km 10
housegirl wangu alinizingua defender lilihamia mtaani
nilishambutua mwanamke mmoja mchepuko wa bwana wangu zamani nikavunja karibu vitu vyote baa nzima '''' yesu kristu wa nazaret .. bint yangu ananisemesha akiwa amesimmama mita kadhaa maana anajua mama mkali nikiwepo huwa anatii sheria hahaha'

mpangaji mwenzangu wa kiume aliniletea uswahili hahahaha mpaka leo tunaheshimiana.. wakike tunasalimiana tu tunapishana sitaki mazoea nao maana wanawake na majungu ntawekwa kwenye nondo

nikichukia navunja vitu, nalia.. ama natapika pamoja na kujikata wakati mwingine damu ikitoka napata ahueni

nina hasira za papo kwa papo lakini pia ni mwenye huruma sana na sipendi kukasirisha WENGINE
..this is a very serious 'situation'!!!
 
Pole dada, nakushauri ujifunze kuignore au kumpotezea mkosaji wako mara tu hasira zinapokujaa, hatakama unataka kuongea naye bhasi subiri muda au siku kadhaa ukiwa huna hasira ili uongee naye. HATA HIVYO HUENDA UNASUMBULIWA NA ROHO YA HASIRA TOKA KWA IBILISI, UNATAKIWA KUWA UNAFANYA IBADA KWA BWANA KUJIOMBEA UBADILIKE. Muombe Bwana, jifunze kuignore/kupotezea pia acha kufikiri kuwa unadharauliwa kila unapokosewa(jipende na kujiamini hatakama utadharauliwa kwa namna yoyote) mwisho hasira zikikuzidi kunywa maji mengi, jifungie ndani ulie vya kutosha ili kuondoa uchungu.
 
Pombe usinywe.. vuta bangi sikiliza mimbo ya zamani ulio kuwa unaipenda wakati huo.

Binafsi nikiwa na hasira navuta bange nusu kisha nasikiliza mimbo ya zamani kama Rasta wake up ya Senzo. Moyo unatulia na nakuwa na Amani kisha nakuwa na moyo wa kusamehe kiroho safi kabisa.
duh sawa mkuu
 
Kuna kitu kinakustress,sasa lazima tujue,umeolewa,una mtoto ,watoto,uchumi ukoje,lifestyle,makuzi yako labda uliwahi kudhalilisha kijinsia ukiwa mdogo,
wazazi wako wapo hawapo.,labda ulishuhudia mamako akinyanyaswa na baba,au labda walikuacha ungali mdogo ukalelewa na mama wa kambo kwa manyanyaso etc,

kama tatizo liko serious,lazima background yako itambuliwe ili mtu ajue namna ya kukusaidia.

Ila kama tatizo liko skindeep,pengine frustration za maisha zinachangia tu,so you need to relax and take easy kwa kila kitu,
 
Kaombewe kama kweli umedhamiria kuacha hiyo tabia,usipobadilika na kuacha maradhi yataanza kukunyemelea very soon kawni watu wengi wenye tabia hiyo mwisho wao hauwi mzuri.
amina na nia kweli ya kuacha
 
Back
Top Bottom