Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Hasira zenu nyie wa mlima kilimanjaro aisee! Dawa ya hasira ni moja tuu,mtu akikuudhi mnamalizana hapohapo.....
 
Yaani wewe ni mimi jamani ... Huwa nina hasira mpaka vibaya ila mie huwa sidhuru mtu badala yake nitalia weee au kukaa kimya au nasinzia hapo ikiwa kama ni mtu anayenizidi umri ndio amenikwaza .... Ila kama ni umri wangu kushuka chini nitamuongelesha mpaka anachoka ilimradi tu asinikatishe ninapokua ninaongea aitikie kwa kichwa au aseme kweli kabisa nikimaliza kuongea ila hazijaisha naliaaaaa mpaka machozi yaache kutoka basii hapo natulia na hasira kushnei
 
Habari zenu wakuu.

Ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..

kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..

wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.

nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.

asanteni
Jifunze kudharau vitu...kwenye dharau hawanaga hasira coz kila kitu wanachukulia poa
 
Naomba nielewe kitu kabla sijakushauri

ukipata hasira ndo unaenda kunywa ili ulewe na uzime?
na ukishazima unaliwa? na yoyote alie karibu?
ndo hasira zinaisha after ?

nieleweshe hapo kwanza
unataka ukale ninj
 
toa basi kaushauri kidogo kabla sijakutafuta naomba

Kuna mbinu nyingi unaweza kuzitumia na kubwa ni ku divert attention....yaani kila ukijua unakaribia hivyo au pata wao la kulewa basi either immediately fanya kitu kizuri unachopenda, inaweza kuwa kupika au nunua chakula, au ongea na rafiki kipenzi ambaye mmeshibana au ambaye hukuchekesha sana, watch a favorite show, vaa raba nenda for a walk, beach au drive..

Tuwasiliane ili nikupe options na some ideas..
 
Doh pole sana Rafiki yangu kwa yanayokusibu..Najua itakua kuna mambo magum umekumbana nayo ambayo yamekua mtihani kwako!plz tafuta njia ukutane na wataalam wakusaidie hiyo hali maana mie niliwahi kukumbwa na hiyo hali nilivyomaliza fom6 kutokana tu na matatizo yaliyonifika kipind hicho kiukweli nilitaman hata kufa nilivuta na kunywa hadi kutoroka hom but haikunipa ahuen ya maisha mpaka nilipopata tiba ya kimawazo..yaani saivi nipo okey yaani sina kinachoniumiza..nimejifunza kulet it go!! najua una namba zangu! i will check u my Bestfriend
 
yaani watu wa humu jf bhana, kila nikitaka comment wananiblock wanawahi wenyewe. bila hivyo ujue mm ndio ningekua wa kwanza kukuuliza kama umeolewa. kwa sababu nakupendagaga kuanzia zamani ujuege. usiwasikilizagage nijibugi mimi na najuaga wanavyosegaga kupetipeti. sanduku langu la posta 1081.
 
Back
Top Bottom