Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Jina lako si miss chagga kwa maana wewe ni Mchaga?! Wala usipate shida, nadhani Wachaga mna genes za mihasira! Nishawahi kuwa na totoz za Kichaga mara mbili; na wote full mihasira! Nilikuwa nawapendaga hao balaa manake nina aleji na wasichana wananyonge wanyonge! Kama unadhani nadanganya; tafuta kwenye familia yenu... ni nani hana hasira.
We call it generation or family spirit
 
Utakuwa na ugonjwa wa ukichaa au kwa jina la Kizungu wanaita Bordeline Personality Disorder (BPD) nakushauri kama upo Bongo uende kwa Kitila Mkumbo yeye ana PhD ya psychology labda atakusaidia kidogo lkn ni ngumu sana kupata tiba yake hapa Bongo kwani hatuna hawa Wataalamu!

Wanasema hii inatokana na madhara ambayo uliyapata wkt ukiwa mtoto, labda ulibakwa au kuteswa kwa ujumla ulikosa mapenzi utotoni ambapo mtoto wa kawaida hupata ktk kwa Wazazi au Walezi vile vile kuna kurithi wengine hurithi huo ukichaa ulio nao hivyo angalia kwenye familia yako kama mna asili ya ukichaa basi hapo na wewe utakuwa umerithi na hapo hakuna kitu utafanya, ningekushauri usianzishe mahusiano ya kimapenzi ili kutokuwadhuru wengine, nilishwahi kuwa na Demu mwenye huo ukichaa, hivyo najua ninachokiongelea!
miss chagga nenda kwa Yesu Kristu tu. Watu wa saikolojia watakufundisha kuishi na tatizo ila kwa Yesu tatizo lako ataliondoa!
 
Kama umefikia umri wa menopause inawezekana ndiyo sababu unapata hasira. Nenda kwa gynacologist waangalie hormonal system yako ikoje. Pole sana. Hata kama haujafikia umri wa menopause, ni vyema ukapime.
 
Jina lako si miss chagga kwa maana wewe ni Mchaga?! Wala usipate shida, nadhani Wachaga mna genes za mihasira! Nishawahi kuwa na totoz za Kichaga mara mbili; na wote full mihasira! Nilikuwa nawapendaga hao balaa manake nina aleji na wasichana wananyonge wanyonge! Kama unadhani nadanganya; tafuta kwenye familia yenu... ni nani hana hasira.
Its very true hiyo ni genes kuna kipind nlikua Arusha kuna msichana mmoja tulikuwa tunabishana mambo ya kawaida sana akapasua chupa akataka kunichoma karibu na moyo
 
Kuna kitu nimekiona hapo, ngoja nikifika patulivu ntakuandikia vitu uvifanyie kazi
 
Kama umefikia umri wa menopause inawezekana ndiyo sababu unapata hasira. Nenda kwa gynacologist waangalie hormonal system yako ikoje. Pole sana. Hata kama haujafikia umri wa menopause, ni vyema ukapime.
Bado aisee
 
Habari zenu wakuu,

Nina tatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa. Sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. Naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana.

Kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio la kutosha..

Wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.

Nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena (japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe).

Naombeni msaada nifanye nini napokasirika?

NB: Nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... Mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa!

Asanteni..
===========

MADA HII IKIWA NA MAONI YA WANAJF IMESOMWA PIA KWENYE KIPINDI CHA JAMII LEO. TAZAMA VIDEO;



NJOO PM UPATE USHAURI PLEASE.
 
Halafu mnalalamika wanaume wana michepuko! Kwa tabia hizi acha tuwe nayo.
 
Halafu mnalalamika wanaume wana michepuko! Kwa tabia hizi acha tuwe nayo.
Kuchepuka ni uamuzi tu wa mtu. Unadhani kuna mtu utakaye-date asiwe na udhaifu? Umeona kuna dume la mbegu hapo juu limemsaidia mchumba ake alokuwa na tatizo la hasira, hadi ametulia now? Wewe huna udhaifu unaobebewa? Ukiona huwezi kuishi na udhaifu wa mtu, muache tu, hamna haja ya kuchepuka
 
Kuchepuka ni uamuzi tu wa mtu. Unadhani kuna mtu utakaye-date asiwe na udhaifu? Umeona kuna dume la mbegu hapo juu limemsaidia mchumba ake alokuwa na tatizo la hasira, hadi ametulia now? Wewe huna udhaifu unaobebewa? Ukiona huwezi kuishi na udhaifu wa mtu, muache tu, hamna haja ya kuchepuka
Nimekusaidia kutoa boonge la msonyo.
 
Back
Top Bottom