Nahitaji kufahamu kuhusu mkoa wa Shinyanga

Nahitaji kufahamu kuhusu mkoa wa Shinyanga

Muhimu kupata point hapa ngoja nitege sikio,,,,ila nilipita kahama mwezi 6, daah kahama ni habari nyingine,,,,matajiri wamewekeza balaa,,kuna watu wengi sana,,biashara zimeshamiri balaa,,,,sijawai kuona mji wenye sheli ngingi kama kahama ukitoa mka wa pwani hasa morogoro road,,,kahama ni habari ingine,,,,nilipita tu, wajuzu wa kahama njoon na wafanyabiashara,,,naskia Dry port inajengwa,,,mgodi wa buzwagi unageuzwa kongani ya viwanda,,,
 
Biashara nenda kahama au mwaza au katoro,shy labda ufanye biaahara za mifugo na uchimbaji wa dhahabu.

NI mji wa wafanyakqzi hauna harakati za kibiashara mzunguko wa kawaida sana,ila ni mji mzuri msafi na uliopangika

Usafiri mkuu ni daladala za baiskeli,wenyeji ni wasukuma jiandae kujifunza kisukuma wanapenda wanawake weupe,wa karimu sana ila hawapendi dharau.
 
Back
Top Bottom