SILLENT KILLER 2
JF-Expert Member
- Jun 12, 2024
- 828
- 1,564
Wakuu habari za muda huu.Nilikuwa naomba kufahamu kuhusu upatkanaji wa maeneo kwa ajili ya kufugia mifugo kama mbuzi na ng'ombe.
Sehemu ninayohitaji iwe kama pori ambako nitaweza kuintaract na wafugaji wenzengu yani yale maeneo ya ndichi.
Kwa anaefahamu anijulishe.no 0623297330
Sehemu ninayohitaji iwe kama pori ambako nitaweza kuintaract na wafugaji wenzengu yani yale maeneo ya ndichi.
Kwa anaefahamu anijulishe.no 0623297330