Nafikiria kuishi hivi...... naomba ushauri.

Nafikiria kuishi hivi...... naomba ushauri.

Nafikiria kuishi single sitaki kuolewa wala kupenda mwanamume kwa moyo wangu wote kwa lengo la kutoumizwa tena. Kiasi nilichoumia kinatosha na leo nina furaha maana niko huru.

Naelewa nitahitaji watoto; nadhani itakapofikia muda muafaka nitatafuta kidume cha mbegu special kwa kupata uzao tu na si kwa mapenzi toka moyoni mwangu. Ninajiwekea akiba ambayo itanifanya nijitegemee na kuishi kwa furana bila kutegemea msaada toka kwa mume/mpenzi.

Mikwara tu hakuna lolote. Hasira zikiisha " Ooooh Dear nimekumic niliover react my sweetie, nisamehe ila na wewe bwana achana na huyo mwanamke" ahahahahahahahaha

Ndugu yangu usitukane mamba na hujavuka mto maisha unayoyataka utayaweza? Matoy si mazuri kama msuri original lile nyama lenyewe lile nafikiri unalijua!!!!!. Na kumbuka maisha unayoyataka yana class yake si kila mtu tu anayaweza mama. We penda ila usipende kizoba unajiachia moyoooo wooooooooote ndo mana jamaa akikuwaza tu unaanza kusema maneno ambayo badaye unakuja kujilaumu. Penda but uwe 50 50 mapenzi bongo kwenye hiki kizazi cha sasa ni ishu ukijifanya umefika saanaaaa umekwisha,, unatakiwa unakuwa mguu ndani mguu nje kudadadekii,,, :bathbaby:
 
Nafikiria kuishi single sitaki kuolewa wala kupenda mwanamume kwa moyo wangu wote kwa lengo la kutoumizwa tena. Kiasi nilichoumia kinatosha na leo nina furaha maana niko huru.

Naelewa nitahitaji watoto; nadhani itakapofikia muda muafaka nitatafuta kidume cha mbegu special kwa kupata uzao tu na si kwa mapenzi toka moyoni mwangu. Ninajiwekea akiba ambayo itanifanya nijitegemee na kuishi kwa furana bila kutegemea msaada toka kwa mume/mpenzi.

Naomba ushauri wako, sitaki kufanya kosa katika mipango yangu ya maisha.
Mikwara tu hakuna lolote. Hasira zikiisha " Ooooh Dear nimekumic niliover react my sweetie, nisamehe ila na wewe bwana achana na huyo mwanamke" ahahahahahahahaha

Ndugu yangu usitukane mamba na hujavuka mto maisha unayoyataka utayaweza? Matoy si mazuri kama msuri original lile nyama lenyewe lile nafikiri unalijua!!!!!. Na kumbuka maisha unayoyataka yana class yake si kila mtu tu anayaweza mama. We penda ila usipende kizoba unajiachia moyoooo wooooooooote ndo mana jamaa akikuwaza tu unaanza kusema maneno ambayo badaye unakuja kujilaumu. Penda but uwe 50 50 mapenzi bongo kwenye hiki kizazi cha sasa ni ishu ukijifanya umefika saanaaaa umekwisha,, unatakiwa unakuwa mguu ndani mguu nje kudadadekii,,, :bathbaby:
 
Bora uishi utakavyo maana tukikushauri jinsi ya kuishi tunaweza kukosea pia!
 
nipe hiyo nafasi ya kuwa dume lako la mbegu..
 
Nafikiria kuishi single sitaki kuolewa wala kupenda mwanamume kwa moyo wangu wote kwa lengo la kutoumizwa tena. Kiasi nilichoumia kinatosha na leo nina furaha maana niko huru.

Naelewa nitahitaji watoto; nadhani itakapofikia muda muafaka nitatafuta kidume cha mbegu special kwa kupata uzao tu na si kwa mapenzi toka moyoni mwangu. Ninajiwekea akiba ambayo itanifanya nijitegemee na kuishi kwa furana bila kutegemea msaada toka kwa mume/mpenzi.

Naomba ushauri wako, sitaki kufanya kosa katika mipango yangu ya maisha.


Ni hasira tu hizi..zitapoa..njoo uombe ushauri baada ya miezi 6
 
ukifika muda wa kutafuta kidume cha mbegu utaniPM, nna mbegu nzr sana zile za kichombechombe.
 
Nafikiria kuishi single sitaki kuolewa wala kupenda mwanamume kwa moyo wangu wote kwa lengo la kutoumizwa tena. Kiasi nilichoumia kinatosha na leo nina furaha maana niko huru.

Naelewa nitahitaji watoto; nadhani itakapofikia muda muafaka nitatafuta kidume cha mbegu special kwa kupata uzao tu na si kwa mapenzi toka moyoni mwangu. Ninajiwekea akiba ambayo itanifanya nijitegemee na kuishi kwa furana bila kutegemea msaada toka kwa mume/mpenzi.

Naomba ushauri wako, sitaki kufanya kosa katika mipango yangu ya maisha.

Huyo aliyekuumiza mlioana au mlikuwa mna-zini tu?
 
Usikiri vibaya maana vile unavyokiri ndivyo utapokea hasa kwenu kian dada muwe waangalifu sana na maneno yanayowatoka kinywani hasa baada ya kuumizwa au katika hali ya kawida kama unafahamu kitabu kinaitwa biblia kitafute na usome kitabu cha HESABU 30;2-16
INASEMA

2. Mtu atakapomwekea Bwana nadhiri, au, atakapoapa kiapo ili kufunga nafsi yake kwa kifungo, asilitangue neno lake; atafanya sawasawa na hayo yote yamtokayo kinywani mwake.

3. Tena mtu mke atakapomwekea Bwana nadhiri, na kufunga nafsi yake kwa kifungo, naye aketi katika nyumba ya babaye, katika ujana wake;

4. babaye naye akasikia nadhiri yake, na kile kifungo chake alichofungia nafsi yake, na babaye akamnyamazia; ndipo nadhiri zake zote zitathibitika, na kila kifungo alichofungia nafsi yake kitathibitika.

5. Lakini kama huyo babaye akimkataza siku hiyo aliyosikia; nadhiri zake ziwazo zote, wala vifungo vyake alivyoifungia nafsi yake havitathibitika; na Bwana atamsamehe, kwa kuwa babaye alimkataza.

6. Tena kama amekwisha kuolewa na mume, wakati huo wa nadhiri zake, au wa neno hilo alilolitamka kwa midomo yake pasipo kufikiri, alilojifungia;

7. na mumewe akasikia, naye akamnyamazia siku hiyo aliyosikia neno hilo; ndipo nadhiri zake zitathibitika, na vile vifungo ambavyo ameifunga nafsi yake vitathibitika.

8. Lakini kama mumewe akimkataza siku hiyo aliyolisikia; ndipo ataitangua nadhiri yake iliyo juu yake na neno alilolitamka kwa midomo yake pasipo kufikiri, alilojifungia; na Bwana atamsamehe

9. Lakini nadhiri ya mjane, au ya mwanamke aliyeachishwa mume, kila neno ambalo ameifunga nafsi yake kwalo, litathibitika juu yake.

10. Tena kama aliweka nadhiri nyumbani mwa mumewe, au kama aliifunga nafsi yake kwa kifungo pamoja na kiapo,

11. na mumewe alisikia akamnyamazia, wala hakumkataza; ndipo nadhiri zake zote zitathibitika, na kila kifungo alichojifungia kitathibitika.

12. Lakini kama mumewe alizibatilisha na kuzitangua siku hiyo aliyozisikia, ndipo kila neno lililotoka midomoni mwake katika hizo nadhiri zake, au katika kile kifungo cha nafsi yake, halitathibitika; huyo mumewe amezitangua; na Bwana atamsamehe.

13. Kila nadhiri, na kila kiapo kifungacho, ili kuitaabisha nafsi ya mwanamke mumewe aweza kuthibitisha, au mumewe aweza kutangua.

14. Lakini mumewe akimnyamazia mkewe kabisa siku hata siku ndipo azithibitisha nadhiri zote za mkewe, au vifungo vyake vyote vilivyo juu yake; yeye amezithibitisha, kwa kuwa alimnyamazia mkewe siku hiyo aliyozisikia nadhiri zake.

15. Lakini akizibatilisha na kuzitangua baada ya kuzisikia; ndipo yeye atachukua uovu wa mkewe.

16. Hizi ndizo amri, ambazo Bwana alimwagiza Musa, kati ya mtu mume na mkewe, kati ya baba na binti yake, katika ujana wake, ali nyumbani mwa babaye.


Asomaye na afahamu hasa kina dada chunga sana matamshi yenu.
 
Love is the answer to all of your problems,but come to those who believe it
Nafikiria kuishi single sitaki kuolewa wala kupenda mwanamume kwa moyo wangu wote kwa lengo la kutoumizwa tena. Kiasi nilichoumia kinatosha na leo nina furaha maana niko huru.

Naelewa nitahitaji watoto; nadhani itakapofikia muda muafaka nitatafuta kidume cha mbegu special kwa kupata uzao tu na si kwa mapenzi toka moyoni mwangu. Ninajiwekea akiba ambayo itanifanya nijitegemee na kuishi kwa furana bila kutegemea msaada toka kwa mume/mpenzi.

Naomba ushauri wako, sitaki kufanya kosa katika mipango yangu ya maisha.
 
Nafikiria kuishi single sitaki kuolewa wala kupenda mwanamume kwa moyo wangu wote kwa lengo la kutoumizwa tena. Kiasi nilichoumia kinatosha na leo nina furaha maana niko huru.

Naelewa nitahitaji watoto; nadhani itakapofikia muda muafaka nitatafuta kidume cha mbegu special kwa kupata uzao tu na si kwa mapenzi toka moyoni mwangu. Ninajiwekea akiba ambayo itanifanya nijitegemee na kuishi kwa furana bila kutegemea msaada toka kwa mume/mpenzi.

Naomba ushauri wako, sitaki kufanya kosa katika mipango yangu ya maisha.

Hapa nahisi harufu ya usagaji kwa mbali
 
mi navyojua mihemko ya kimapenzi ilivyo bora ungekausha tu wala usitafute mtu wa kuzaa naye,kwani inaweza kutokea ukakolea tena halafu akakuzingua yakawa yaleyale,halafuu,logic ya kuzaa mtoto tu bila ya kuwa na ufahamu wa babake wakati yu hai we huoni kama utakuwa umemkatili sana mtoto kwa kuendekeza ubinafsi wako,bora usizae mama hutamtendea haki mwanao
 
Njoo kwangu, hutajutia uamuzi huu wa kja kwangu. Please! Nikupe namba yangu ya simu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom