simwitayusta
Member
- Mar 11, 2010
- 39
- 11
Dada nakushauri sana usifanye hayo unayotaka kufanya kikubwa muombe sana Mungu akuponye madonda yako kisha muombe akupe yule wa kufanana naye! A vivid example from I have been pasing through the same situation for some years lakini nilimulilia Mungu na amenipa wa kufanna naye na sasa niko ndani ya ndoa iliyojaa furaha ya Mungu na nafurahia mno kuwa naye kwani Mungu amenikumbuka na kunisahaulisha madonda yangu yoooooooooooooooooooooooooooooooooote!