happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,384
- Thread starter
- #21
we mkuria nn..?uhamuzi=uamuzi
Inawezekana sijaeleweka.
Nimesema ninafikiria kuishi hivyo nikiwa na maana bado sijaamua kuishi hivyo, nimeomba ushauri wenu
we mkuria nn..?uhamuzi=uamuzi
snowhite love this!hiyo ndo shida kiukweli kuamua kitu kwa sababu mtu amekuumiza basi unaamua kitu for the rest fo ur life!Let me contribute my ideas from this angle......
You were in a relationship, and you gave the whole of your heart to your partner and you were hurt. Sit back, relax
Sometimes, we make mistakes in our lives, but life has to go on. You made a mistake by giving your heart to a wrong person; do not do another mistake by changing your life and your principle just for this worthiless person.
Learn from your mistake, pull up yourself, move on..... Stronger and more experienced this time.
Do not give this worthiless person such a power by changing your life principles........ You will always remember such a fool because he was your "turning point" to the extent of you changing your life style
Endelea na maisha, one day very unexpectedly atatokea mtu ambae atakupenda na kukuheshimu. All the best.
Nafikiria kuishi single sitaki kuolewa wala kupenda mwanamume kwa moyo wangu wote kwa lengo la kutoumizwa tena. Kiasi nilichoumia kinatosha na leo nina furaha maana niko huru.
Naelewa nitahitaji watoto; nadhani itakapofikia muda muafaka nitatafuta kidume cha mbegu special kwa kupata uzao tu na si kwa mapenzi toka moyoni mwangu. Ninajiwekea akiba ambayo itanifanya nijitegemee na kuishi kwa furana bila kutegemea msaada toka kwa mume/mpenzi.
Naomba ushauri wako, sitaki kufanya kosa katika mipango yangu ya maisha.
Let me contribute my ideas from this angle......
You were in a relationship, and you gave the whole of your heart to your partner and you were hurt. Sit back, relax
Sometimes, we make mistakes in our lives, but life has to go on. You made a mistake by giving your heart to a wrong person; do not do another mistake by changing your life and your principle just for this worthiless person.
Learn from your mistake, pull up yourself, move on..... Stronger and more experienced this time.
Do not give this worthiless person such a power by changing your life principles........ You will always remember such a fool because he was your "turning point" to the extent of you changing your life style
Endelea na maisha, one day very unexpectedly atatokea mtu ambae atakupenda na kukuheshimu. All the best.
Mtoto mzuri kama ulishafanya maamuzi sisi tutakushauri nini zaidi ya kukutakia mafanikio
all the best...
Mie nilisemaga naapa sitakuja kupenda ,Naapa sitakuja kuolewa
hahah leo hii nacheka tu na viapo vyangu
DA unaniua sasaNgoja nitafute kamusi maana thread ya kiswahili imechangiwa kiingereza natamani kuelewa hii mapoint
Nafikiria kuishi single sitaki kuolewa wala kupenda mwanamume kwa moyo wangu wote kwa lengo la kutoumizwa tena. Kiasi nilichoumia kinatosha na leo nina furaha maana niko huru.
Naelewa nitahitaji watoto; nadhani itakapofikia muda muafaka nitatafuta kidume cha mbegu special kwa kupata uzao tu na si kwa mapenzi toka moyoni mwangu. Ninajiwekea akiba ambayo itanifanya nijitegemee na kuishi kwa furana bila kutegemea msaada toka kwa mume/mpenzi.
Naomba ushauri wako, sitaki kufanya kosa katika mipango yangu ya maisha.
Bibie, sasa hako kakikojoleo kakiwasha na kuhitaji kukunwa utatumia mbinu gani kukanyamazisha maisha yako yote?Inawezekana sijaeleweka.
Nimesema ninafikiria kuishi hivyo nikiwa na maana bado sijaamua kuishi hivyo, nimeomba ushauri wenu
karibu chama la mabachelor
hakuna mapenzi yale ya kugandana ni siku za kale
ya siku hizi ni kuumizana moyo tu...
kama una moyo mwepesi kama mimi itakula kwako...
DA unaniua sasa
Kitu cha msingi ninachotaka kusema ni kwamba usibadilishe utaratibu mzima wa maisha yako kwa sababu ya mpuuzi mmoja ambae ameshindwa kukuthamini. Ukifanya hivyo utakuwa unafanya kosa juu ya kosa, kwa sababu utamkumbuka 'mpuuzi' huyo siku zote za maisha yako kama mtu aliyekufanya ubadilishe jinsi unavyoishi. Utakuwa umempa heshima asiyostahili mpuuzi huyu.
Usifanye kosa hili, jifunze ulipokosea endelea na maisha yako.... ipo siku bila kutegemea atatokea atakaekupenda na kukuheshimu.....(Tafsiri isiyo rasmi ya nilichoandika hapo juu kwa faida ya DA na wengine)
Bibie, sasa hako kakikojoleo kakiwasha na kuhitaji kukunwa utatumia mbinu gani kukanyamazisha maisha yako yote?
DA unaniua sasa
Kitu cha msingi ninachotaka kusema ni kwamba usibadilishe utaratibu mzima wa maisha yako kwa sababu ya mpuuzi mmoja ambae ameshindwa kukuthamini. Ukifanya hivyo utakuwa unafanya kosa juu ya kosa, kwa sababu utamkumbuka 'mpuuzi' huyo siku zote za maisha yako kama mtu aliyekufanya ubadilishe jinsi unavyoishi. Utakuwa umempa heshima asiyostahili mpuuzi huyu.
Usifanye kosa hili, jifunze ulipokosea endelea na maisha yako.... ipo siku bila kutegemea atatokea atakaekupenda na kukuheshimu.....(Tafsiri isiyo rasmi ya nilichoandika hapo juu kwa faida ya DA na wengine)
Bibie, sasa hako kakikojoleo kakiwasha na kuhitaji kukunwa utatumia mbinu gani kukanyamazisha maisha yako yote?
... kuhusu kuzipunguza mwilini utalitatuaje muda wote huo?
Na wewe acha umbea. Mwenyewe kishanipa mimi hiyo kazi, msome hapo chini na usinionee gere. Malabuku zangu!Amekwambia atatafuta wa kumpa mbegu hataki mambo ya kugandana kama ruba
Orayt babe, Come this way baby....Haka kanaweza nyamazishwa hata na wewe! hakasumbui sana
we mkuria nn..?uhamuzi=uamuzi
Na wewe acha umbea. Mwenyewe kishanipa mimi hiyo kazi, msome hapo chini na usinionee gere. Malabuku zangu!
Orayt babe, Come this way baby....