Nafikiria kuhama Catholic

Nafikiria kuhama Catholic

Hi,
Happy New Year.

Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.

Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.

Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango

👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.

👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.


HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.

Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING

NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.

Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
kwani wakati unahamia ULITUAMBIA! wewe sepa zako hakuna muRC anayekujuwa wala kubabaishwa na wewe!
Hamia DINI ya WAUWAJI WA HALAIKI WA TANZANIA
 
Hivi Huwa ni kweli kuwa ile michango ya mavuno ya parokia na jimboni na sadaka wanazotoa Huwa zinaenda Hadi Vatican Kwa papa halafu papa ndiyo anaanza kuzigawa tena sehemu mbalimbali duniani?.Jingine Kwa Nini miradi ya kijamii chini ya makanisa kama shule na hospitali huwa ni GHARAMA kubwa sana wakati zimejengwa Kwa sadakana na mavuno?Inatakiwa ada za shule za makanisa ziwe chini.mfano laki tatu.
 
Hi,
Happy New Year.

Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.

Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.

Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango

👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.

👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.


HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.

Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING

NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.

Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Chawa mmekuwa na milio mingi sana.
Yoote haya ni kwa sababu mmeambiwa acheni kuteka na kuua watu wenye mitizamo tofauti .

Acheni kuua watu, kupoteza watu, acheni task force za kijinga za wasiojulikana.

Vinginevyo hongera sana RC kukemea dhulma ktk kila jambo ikiwemo uchaguzi.
 
Chawa mmekuwa na milio mingi sana.
Yoote haya ni kwa sababu mmeambiwa acheni kuteka na kuua watu wenye mitizamo tofauti .

Acheni kuua watu, kupoteza watu, acheni task force za kijinga za wasiojulikana.

Vinginevyo hongera sana RC kukemea dhulma ktk kila jambo ikiwemo uchaguzi.
Labda ww ni mgeni jf hunijui kama mimi ni Catholic mkereketwa
 
Hi,
Happy New Year.

Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.

Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.

Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango

👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.

👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.


HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.

Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING

NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.

Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Hama tu... Who are you
 
Sijajua kwanini mimi muumini inabidi nitambulike Kanisani kwa sadaka nilizotoa kwa yatima na wasiojiweza,maana sadaka ni siri ya wewe mtoaji na uliyempa sasa unataka Kanisa likutambue kwa sababu gani?

Muumini mwenye roho wa Mungu?ukiwa na sifa hiyo inabidi kama unataka kuitumia Kanisani uombe kuwa Katekista au mwalimu may be wa choir au pia uwe mwanakwaya,labda mimi muumini ninajiona perfect kuliko kundi loote hivyo nataka mawazo yangu tu ndiyo yasikilizwe yasiposikilizwa naona Kanisa halinitaki mimi mwenye roho wa Mungu?

Mimi nakushauri hamia wasabato,hao ndiyo wana sifa zoote hizo unazozitaka na haraka sana watakupokea kukupa kile nafsi yako inataka kwenye imani,(kujulikana unatoa sana sadaka,una roho wa Mungu etc)kila la heri mdau!
 
Hi,
Happy New Year.

Binafsi nimekua mzito kushiriki ibada ya jumuiya, Misa za kanisani au mambo yoyote yahusuyo kanisa katoliki. Sijawahi kuwaza hivi toka nikiwa najielewa but now things are dreadful to me, nilikua naioenda sana hii imani and proud ila kwa sasa naona napoteza muda wangu.

Mkesha xmass nilienda kanisani ila ikabidi nikae nje tu mpaka ibada ilipoisha...never happened before. But niliona naenda poteza muda tu.

Why???
👉 Katoliki halimthamini mtu mwenye roho wa Mungu na mwenye Upako ndani yake, Ila yule anayetoa michango

👉Halithamini sadaka zako unazoto kwa yatima,wagonjwa,wazee, na wenye njaa..ila tu ILE MICHANGO UNAYOCHANGIA KANISANI
👉 Halithamini kujitoa kwako juu ya kanisa ila tu kwa PESA UNAZOTOA KANISANI.

👉Pesa tunazochanga zinaenda kuhusumia wanawake zao na watoto wao waliowapata nje ya utaratibu wao.


HIVYO.....
Yule anayetoa pesa kanisani na kua na ukaribu na viongoz wa kanisa, Mapadri nk ndio mwenye thamani zaidi.

Naomba mnipe mawazo chanya niweze kurudi relini aisee.... Mawazo ya kuhama yamenijaa ila sijui niende wapi ambapo THEY DON'T CARE ABOUT MATERIAL BUT SPIRITUAL AWAKENING

NB. Catholic sio mbaya ila wanao liongoza ndio shida.

Kweli there's a price to pay when you know a lot of things you weren't supposed to know
✖️
Tokea lini Muislam akahama kutoka ukatoliki?
 
Usiondoke mkuu, bila wewe kanisa litatetereka sana.

Nani ataifanya kazi ya mama kanisa isipokuwa wewe?
Hapana kiongozi,tusibembelezane imani kuonekana Kanisa limejaa huku tunaojazana mule hatujui kwanini tupo humo ni ujinga.

Inabidi letu liwe moja,siyo mimi nakaa pale wakati ibada inaendelea naanza kuwaza padre pale sadaka yangu ataenda sijui kuhonga,sijui watoto wake sijui familia yake na wakati mwengine ni mambo ambayo siwezi hata kuyathibitisha.
 
Njoo huku kwa wavaa kobaz dini ambayo haina cha mkubwa wala mdogo wakati wa ibada
siku moja mzee Ruksa alikuja kusali msikiti wa Kariakoo akakuta umejaa wakataka kumpisha akakataa akasalia nje.
That is the goodness of ISLAM,

Hii dini haiangalii mali na mapambo ya dunia bali tunaangalia maisha baada y haya ya duniani,hapa tunapita tu

Utasikia waislamu hawatoi sana hela kama wakristo na blablah kibao, ALLAH anasema hailazimishi nafsi kutoa isipokuwa kile ambacho nafsi hiyo inauwezo nacho,na akaendelea kusema hakika faida ya kile mtu anatoa ni kwa faida yake mwenyewe na kile asichotoa ni hasara yake mwenyewe

Kwa maana ukitoa ni kwa ajili ya maslahi yako mwenyewe hiyo siku ya kiama au siku ya hukumu na ukifanya ubakhir basi tambua kwamba ni wewe ndiye unayepata hasara hiyo siku ya hukumu


Unaona uzur wa Uislamu,unafafanuliwa mambo kisha ni juu yako kuamua unataka uwe na mwisho mwema au mbaya

I love islam
 
Naona kina Samia wanawatuma kuligawa kanisa

mmwambien yeye ni kifaranga tu atasshaulika baada ya siku zisizozid alfu mbili
 
Hakuna kanisa lisilotegemea michango hata huko unapoenda watakwambia TIIIA HELAAA...! Halafu utaukumbuka ukatoliki wako ulioukana
 
Back
Top Bottom