Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 15,198
- 24,570
Ni zipi labda?ndio nazijua
Ni zipi labda?ndio nazijua
Wengine ukichomeka imo, (kina katikia)
Haya brazasina ila nimeshawahi kuwapa wanawake mimba
Mimi sijakushambulia popote nlitaka kujua kama una mtoto au watoto, ila kwakua huna, haya basi sawa........Jamani hamna haja ya kunishambulia kwa kuwa nyie ni wanawake....tumeshaenda hospital tukafanya vipimo shida ikaonekana iko wapi
Usimuache! Si kosa lake! Unapaswa umpende, umthamini, umjali, umuombee, umfariji! Tafuta tiba ya changamoto yenu ikibidi nendeni hospitali pamoja mkacheki afya zenu kujua shida ni nini?Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
Hakika aweke picha na number...Mimi sijakushambulia popote nlitaka kujua kama una mtoto au watoto, ila kwakua huna, haya basi sawa........
Muache tu huyo mke, tuachie....tugee na namba zake.
Usimuache.tumeshapita changamoto ni hormone
1.AnanipendaPole najua unajisikia vibaya ila niuulize haya maswali halafu nikupe kisa kimoja.
1.Je ,anakupenda?
2.Anakutendea mazuri?
3.Anakuheshimu?
4.Je umeshirikiana nae katika hilo?
5.Una uhakika tatizo lenu halitokani na wewe au ukoo wenu?
Mkuu watoto ni muhimu kwenye ndoa ila pia wanaweza wakawa sio muhimu,,pindi ukiugua mtu muhimu wa kwanza ni mke wako,hata watoto wakikua watakuacha kwenda kutafuta maisha yao ila mkeo inawezekana akabaki mpaka unakufa.
Njia nyingi zipo za kutafuta hiyo furaha,kumuacha tu kisa hiko ni ukatili mkubwa sana kama ni mwema kwako kwa muda wote.
Mfano
Pale hospital kesi nyingi za namna yako zinakuja lakini ajabu majibu yanatoka mwanaume ndo shida.
Fanya hima umri unaenda hivooo😁Hata sijui aisee ngoja nikipata mke nitaangalia...
Hapo napiga nyagi nzima kavu kavu ndo niingize kwenye damu! Hamna namna!