Nafikiria kuachana na mke wangu

Nafikiria kuachana na mke wangu

Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
Nilijua amekucheat kumbe watoto Hilo sio suala la kuachana kisa mtoto lisikuumize kichwa MUNGU anajua kwasababu ya siku ile Wenda akakupa halafu akawa shoga, jambazi au Mwana CCM ukafikilia Kumuua au akuue ww ili uwe huru au awe huru umenielewa sijui
 
Nilijua amekucheat kumbe watoto Hilo sio suala la kuachana kisa mtoto lisikuumize kichwa MUNGU anajua kwasababu ya siku ile Wenda akakupa halafu akawa shoga, jambazi au Mwana CCM ukafikilia Kumuua au akuue ww ili uwe huru au awe huru umenielewa sijui
maneno ya mfa maji
 
Je mlifunga ndoa ama mnaishi ya sogea tukae?
Je ulimuoa kwa mahari na baraka za wazazi wa pande zote mbili ama mlibebana from kitaa?
Je anafahamika kwenu nawewe unafahamika nyumbani kwao?
Je nini lilikua lengo la kuamua kuishi pamoja?
ndoa ni ndoa wewe juha! Haijalishi mlikutana wapi. Umelipa mahari au hukulipa, ulifanya sherehe au hukufanya, una cheti au huna, hiyo ni ndoa kama ndoa zingine
 
Huyo mkeo ukimuacha tu atapata mwanaume na atamzalisha watoto mfululizo. Mwache dada wa watu akapate mtu sahihi kama wewe umeshindwa kumzalisha. Naomba namba yake.
 
Kama huyo mkeo unampenda na ana msaada mkubwa kwako usimuache, toka nje kapige shoo huko upate mtoto. The same as mkeo naye likewise naye atatoka nje kutesti nzali kama kuna mjuba atamnasisha mimba aje azalie ndani ya ndoa na akufichie siri kuwa huna uwezo wa kumpa mimba unasaidiwa na watu wa nje. Nendeni hospitalini mkapimwe ijulikane nani ana matatizo ya uzazi muone namna ya kusaidiana kulinda ndoa yenu isivunjike
 
eeh!!tumeshafanya vipimo
Ooh kama ni hivyo basi kweli kuna kahasira kanakuja kiasi kwamba kibinaadamu unaweza fanya maamuzi ya ajabu.

Mie nashauri usimuache, muombe Mungu huku ukiendelea kufanya jitihada mbalimbali kama members walivyoshauri hapa jukwaani naamini mtafanikiwa kupata watoto
 
Kama huyo mkeo unampenda na ana msaada mkubwa kwako usimuache, toka nje kapige shoo huko upate mtoto. The same as mkeo naye likewise naye atatoka nje kutesti nzali kama kuna mjuba atamnasisha mimba aje azalie ndani ya ndoa na akufichie siri kuwa huna uwezo wa kumpa mimba unasaidiwa na watu wa nje. Nendeni hospitalini mkapimwe ijulikane nani ana matatizo ya uzazi muone namna ya kusaidiana kulinda ndoa yenu isivunjike
mkuu hospital tumeshapita mpaka kuja humu
 
ndoa ni ndoa wewe juha! Haijalishi mlikutana wapi. Umelipa mahari au hukulipa, ulifanya sherehe au hukufanya, una cheti au huna, hiyo ni ndoa kama ndoa zingine
Malizia kisheria haitambuliki
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
Who cares?
 
Back
Top Bottom