snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,325
😀😀😀😀Hapana Ila lilikuwa tag ubavu na Kama unavyojua sisi wanaume tukiwa katika moja na mbili .
Japo yupo mmoja alishika mimba kiufupi ukiona mwanamke hazai ujue 90% tatizo lipo kwake.
😀😀😀😀Hapana Ila lilikuwa tag ubavu na Kama unavyojua sisi wanaume tukiwa katika moja na mbili .
Japo yupo mmoja alishika mimba kiufupi ukiona mwanamke hazai ujue 90% tatizo lipo kwake.
Mwanamke unawajua wewe akiona haumpi mimba huwa wanajaribu njeUkute wewe ndo mwenye shida mkuu. Mmekwisha waona wataalam na kufanya vipimo
Mbaya kichaa sanaaaaUmemlomba miaka mitano umeacha bonge la upenyo, afu innocent boy wa watu huko anakwenda kulaumiwa hamkojoleshi
Anayezaa ni mwanamke, hivyo kutokuzaa ijulikane ni tatizo la mwanamke TU.sasa alokwambia hormone ni tatizo permanent la uzazi ni nani?
Hormone mbona zinarekebishika?
We mpk umri huo kuna mwanamke umeshampa ujauzito?
Umeshafanya kipimo cha uwezo wako wa kutungisha mimba?( zingatia sijakuuliza iwapo unadinda au la)mana ndo huwa mnajuaga mradi unasimamisha basi unaweza kutungisha mimba.
If hujawahi kufanya kipimo cha uwezo wa manii zako kuwa na mbegu za kutungisha mimba usimwambie mwanamke hazai!
sawa tu.Anayezaa ni mwanamke, hivyo kutokuzaa ijulikane ni tatizo la mwanamke TU.
nimekosea kidogo lakini ndivyo ilivyo kwakuwa asili ya ndoa sio mtoto au muda umefika ila ni upendo.Unaelewa hiki ulichoandika?
Sasa maKid umewaacha kwa hao Wanawake au?Hapana Ila lilikuwa tag ubavu na Kama unavyojua sisi wanaume tukiwa katika moja na mbili .
Japo yupo mmoja alishika mimba kiufupi ukiona mwanamke hazai ujue 90% tatizo lipo kwake.
Sasa maKid umewaacha kwa hao Wanawake au?
Huenda wew ndiye mweny tatizo mkuu, vip umefanya jitihada za kujiridhisha kuwa mkeo ndiye mwenye shida?Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
hiki ulichoandika hapa ndio sahihi!nimekosea kidogo lakini ndivyo ilivyo kwakuwa asili ya ndoa sio mtoto au muda umefika ila ni upendo.
na Mapadre ukiwauliza watakwambia ndoa nyingi zinazofungwa huwa sio ndoa ila wanazifunga kwakuwa waliokuja wameamua kuoana na huenda huko mbele zikawa ndoa.
wako wadada wanaolewa kusudi lao ni mali za mwanaume nayo hii huwa sio ndoa kwakuwa kusudi la halisi sio upendo bali tamaa.
siko aina kama sita hivi ambazo Wakatoliki hata ukilazimisha kuzifunga zinaweza kuwa batili ikiwemo na kudanganya mfano ikiwa mmoja alificha hali yake ya uzazi huku akijua hawezi kupata mtoto lakini alimficha mwenzake ndoa hii inaweza kubatilishwa.
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
ni kweli na wao kiukweli wanashindwa kuzivunja kwa sababu zishakuwa taasisi (zinabeba maslahi ya wengi katika jamii) lakini ukiwabana vizuri wnakwambia hii inawezekana wanapeleka kibali kwa askofu maisha mengine yanaendelea.hiki ulichoandika hapa ndio sahihi!
Na uthibitisho wa iwapo alikuwa anajua hali yake kabla hajafunga ndoa ni PALE TU, akiweza kupata cheti cha daktari kilicho nyuma ya tarehe ya ndoa yake.
Huwezi kumdhania tu mtu alikuwa anajua kuwa hana uwezo wa kuzaa kwa kuwa hamjapata watoto kwenye ndoa.
Kanisa Katoliki halitengui ndoa kirahisi namna hiyo!
Hata hiyo kuwa wengi wanakuwa na nia ya mali au lengo la mtoto.
Mradi HUWEZI KUTHIBITISHA NIA YA MTU kwa dhahania, huwezi pia kutumia hiyo hoja kwa huo mlango wa ndoa ya hivyo haijawahi kuwepo wala haitakuwepo.
Kuna vitu vingi sana mpk mfikie huo mstari wa kuvunja hiyo ndoa.
AminaMungu umkumbuke mwanamke yeyote anayechelewa kupata mtoto...
Na wote tumeseme Ameeeeeen
Nice mkuu. 🤝🤝Binafsi sijawahi kuwauliza kwasababu ni mambo ya ndani,ila najua walisaidiwa