Nafikiria kuachana na mke wangu

Nafikiria kuachana na mke wangu

Kama Huna cha kusema kaa kimyaa.
Wewe umelileta humu hlf likaliwe kimya. Itakua wewe ndio una shida na unajua hilo. Jitibie chap maana ngoma itakua haiamki utasingizia umerogwa
 
Hatukushauri umuache... fata ushauri wa wadau
Kuna rafiki angu kaolewa 2015 mpk leo hajazaa na hawajaachana. Vumilia mkuu huwezi jua kwanini hamzai kwa wakati huu.
Kuna mmama huku kazaa mtoto mmoja tena kwa kumtafuta sana kwa madawa kabla hajafa alijutia matendo ya huyo mtoto yalimfanya ajute kumzaa
Heehhee.... wabongo sijui kwanini huwa mnapenda sana kunormalize jambo lolote la kimasikitiko kwa kutaja experience za watu wengi zinazofanana na jambo hilo. Hii huwa ni aina ya kipee sana ya ujinga mlionao wabongo.

Kwa maana nyingine wewe hapa unajaribu kumwambia mleta mada kuwa kwa vile rafiki yako ni tasa na bado yuko kwenye ndoa mwaka wa tisa huu, basi ni sahihi tu hata huyu mleta mada aendelee kuishi na huyo mke wake tasa ilihali yeye anahitaji mtoto.

Nafikiri huu uzi uwe ni fundisho kwa vijana, kwamba kwa sasa hivi madada wengi wameshaharibu vizazi vyao, hivyo basi kabla hujaoa kwa ndoa ya kanisani hakikisha unatia kwanza mimba, hili usijekujiingiza kwenye sintofahamu kama hii.
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
Kwahiyo mmepimwa kwamba yeye ni TASA hana uwezo wa kuzaa au wewe ndo huzalishi?
 
Hii ilimtokea demu Mmoja hivi aliachika akakutana na brother akazaa mapacha 😂😂
Inatokeaga mara kibao, wanaume huwa hawaukubali kabisa huu ukweli....kwamba kuna muda ni wao ndio wanatoa upepo
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
inawezekana pia wewe ndo ukawa tatizo
 
nimelipa mahali ila ndoa hatujafunga
Unaachana naye leo mara baada ya miezi 5 unakuta anaenda clinic na tumbo lake kuubwa! Hujui na yeye anatamani ajaribu kwingine?
 
Inatokeaga mara kibao, wanaume huwa hawaukubali kabisa huu ukweli....kwamba kuna muda ni wao ndio wanatoa upepo
Kabisaaa...kuna dada mmoja naye alinyanyasika sana kwa mumewe hadi akampa talaka hazai, wameachana muda mfupi bidada akapata na boyfriend mimba imoo
 
Kaka yangu akaachana na mkewe na matusi mengi, mi nikawa nawakumbusha kina mama kwani mna uhakika kaka hana shida?? Haya subirini tuone hahahaha 😆 wifi muda mfupi tu akaja arusini na mimba baada ya kuachana na bro, mara event nyingine huyu hapa kaja ananyonyesha sasa!😀😀😀
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
Huo nao ni unyanyasaji,
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
UKimuacha leo Mwaka huo huo wanampa MIMBA
 
Back
Top Bottom