Nafikiria kuachana na mke wangu

Nafikiria kuachana na mke wangu

Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
Baada ya kukosa mtoto ulifuatilia na kujua tatizo ni nini?mlikwenda kwa wataalamu ili kujua kinachosababisha ni nini?vipi kama ukimuacha wakati kumbe tatizo liko upande wako unadhani itakuwa ni suluhisho kumuacha?
 
Usimuache kaka,mimi nimepita changamoto hiyo for 6 years tangu tufunge ndoa lakini tunamshukuru Mungu mke wangu ni mjamzito.kuna dawa za kichina alitumia mke wangu baada ya kuhangaika kwa gynecologists mbalimbali Tz bila mafanikio.Ndani ya mwezi mmoja tu baada ya kutumia akapata ujauzito.So usimuache endelea kutafuta suluhisho utaona ushindi wenye raha mbeleni.
Hao wachina wanapatikana wapi mkuu?pia naomba contacts zao kama hutojali kuna ndugu yangu ana tatizo kama hilo
 
Hatukushauri umuache... fata ushauri wa wadau
Kuna rafiki angu kaolewa 2015 mpk leo hajazaa na hawajaachana. Vumilia mkuu huwezi jua kwanini hamzai kwa wakati huu.
Kuna mmama huku kazaa mtoto mmoja tena kwa kumtafuta sana kwa madawa kabla hajafa alijutia matendo ya huyo mtoto yalimfanya ajute kumzaa
Mtoto alifanyaje
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
Haya! Ila mambo ya mke na mume yafaa muyamalize ninyi wawili
 
Huyo alikuwa ameolewa chuoni kwa ndoa bubu. Miaka mitatu mizima boya mmoja alikuwa anapikiwa, kufuliwa, kupewa mbususu bure na mimba zaidi ya 3 zilishatolewa. Probably kizazi kilishaharibika. We na uboya wako ukamkuta kawa mlokole ukaamua kubeba jumla. Ni mke wa mtu huyo mwache aende mkuu....

Ogopa sana mwanamke aliyepita chuo 28+ unamkuta keshaokoka na utakatifu feki. Wengi wao wanakuwa wametumikishwa sana kingono na wanakimbilia kwenye ulokole kusubiria simps waje wabebe vitu used vinakaribia body count 30+. Pole sana mkuu!
Brother comment yako imeelezea vitu ambavyo ndio uhalisia wa maisha ya wanawake wa kileo uhususani hawa modern women walioenda enda shule.

Nina uhakika kwa asilimia 70% mke wa huyu jamaa mleta mada ana sifa ulizoelezea hapo na ndio zilizopelekea yeye kuwa na changamoto ya uzazi.

Na mara nyingi wanawake hawa huwa wanaangukia kwa nice guys ambao wanataka kuoa wanawake wanaojiweza kiuchumi hili wasaidizane nao maisha.

Kosa la huyu jamaa lilianzia amavamu kwenye uchaguzi wake wa mwanamke.
 
Heehhee.... wabongo sijui kwanini huwa mnapenda sana kunormalize jambo lolote la kimasikitiko kwa kutaja experience za watu wengi zinazofanana na jambo hilo. Hii huwa ni aina ya kipee sana ya ujinga mlionao wabongo.

Kwa maana nyingine wewe hapa unajaribu kumwambia mleta mada kuwa kwa vile rafiki yako ni tasa na bado yuko kwenye ndoa mwaka wa tisa huu, basi ni sahihi tu hata huyu mleta mada aendelee kuishi na huyo mke wake tasa ilihali yeye anahitaji mtoto.

Nafikiri huu uzi uwe ni fundisho kwa vijana, kwamba kwa sasa hivi madada wengi wameshaharibu vizazi vyao, hivyo basi kabla hujaoa kwa ndoa ya kanisani hakikisha unatia kwanza mimba, hili usijekujiingiza kwenye sintofahamu kama hii.
Sawa. Na ukienda kupima DNA uje useme
Mtoto alifanyaje
Stori ndefu ndugu yangu
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
Mkiambiwa wee tia mimba kabla ya kuoa...oh hapana dini hairuhusu lakini kutomber mnatombaner 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kaka yangu akaachana na mkewe na matusi mengi, mi nikawa nawakumbusha kina mama kwani mna uhakika kaka hana shida?? Haya subirini tuone hahahaha 😆 wifi muda mfupi tu akaja arusini na mimba baada ya kuachana na bro, mara event nyingine huyu hapa kaja ananyonyesha sasa!😀😀😀
Kwamba comments zako zooote hizi ukitoa experiences za watu wako wa karibu sijui shoga zako mara kaka yako.. lengo ni kutaka jamaa ajihisi yeye ndio mwenye tatizo?

Anyway mimi nasema tu kwa lifestyle ya vijana wa sasa hivi ni ubwege kuoa/kuolewa bila kujiridhisha kuwa mkeo/mumeo ana uwezo wa kubeba/kutungisha mimba.
 
Kwamba comments zako zooote hizi ukitoa experiences za watu wako wa karibu sijui shoga zako mara kaka yako.. lengo ni kutaka jamaa ajihisi yeye ndio mwenye tatizo?

Anyway mimi nasema tu kwa lifestyle ya vijana wa sasa hivi ni ubwege kuoa/kuolewa bila kujiridhisha kuwa mkeo/mumeo ana uwezo wa kubeba/kutungisha mimba.
Wanaume wapo wengi wana matatizo ya uzazi, ila kwa vile mwanamke ndo mbeba mimba basi inaonekana mwanamke ndo mwenye matatizo. Na huwa anaumizwa sana na jamii yake hasa mume na ndugu wa mume kumbe mwanaume ndo anatoa povu la komoa unaijua hii sabuni lakini?
 
Wanaume wapo wengi wana matatizo ya uzazi, ila kwa vile mwanamke ndo mbeba mimba basi inaonekana mwanamke ndo mwenye matatizo. Na huwa anaumizwa sana na jamii yake hasa mume na ndugu wa mume kumbe mwanaume ndo anatoa povu la komoa unaijua hii sabuni lakini?
Kwa hiyo kwa unavyoamini wewe huyu mleta mada ndio atakuwa ana tatizo sio?? Kwa sababu tu wanaume wengi wana matatizo ila hawaongelewi?
 
Mkiambiwa wee tia mimba kabla ya kuoa...oh hapana dini hairuhusu lakini kutomber mnatombaner 🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa sissy men huwa wanajiingiza kwenye sintofahamu nzito kama hii kisa tu wanafuata mafundisho ya dini ilihali dunia ya kisasa na wanawake wa kisasa hawafuati kabisa muongozo wa dini.
 
Back
Top Bottom