Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,581
Nimekuchek mkuuNjoo DM mkuu
Nimekuchek mkuuNjoo DM mkuu
Nenda kujitolea JKTNDOTO YANGU NI KUINGIA JESHINI / KUJIUNGA NA JESHI , MSAADA NATIMIZAJE???
Ukapige jakataNDOTO YANGU NI KUINGIA JESHINI / KUJIUNGA NA JESHI , MSAADA NATIMIZAJE???
Kama anafani hata bila Jakata unatoboa tiUkapige jakata
Oyaa jamani hivi depo Kiwira au Ccp wanaendaga na ma tranka? maana wizi sio mzuri kwakweli
Ila
Unaweza ukaenda na tranka kumbe hawaruhusiwi unaenda kuwa kichekesho kule kama wale first year wa UDOM walio ripoti na ma tranka walipigwa hadi na picha
Mpka leo sijapata jibu wanaenda nao wajuzi tafadhali
Ndio uwe na mbanga kama mbuyu na uhakiki ukipita. Na lazima upite mfano kwa haya majeshi ya wizara ya ndani jua kwamba watakurudishaKama anafani hata bila Jakata unatoboa ti
Hapo ulipo bold unanitisha mkuu tafadhali fafanuaUnaweza kwenda nalo ila binafsi nakushauri kama ukichaguliwa kwenda huko nenda na kirasket tu, vingine utanunua huko huko.Tranka ni muhimu sana kwa usalama wa vitu vyako. Ila linaweza likawa mzigo mkubwa sana siku ya kwanza ukifika huko
Kama hupendi usumbufu tu siku ya kwanza kufika kambini basi nakushauri usiwe na mizigo mingi sana...maana itakulazimu kuibeba kwa umbali mkubwa kidogo kutoka getini mpaka sehemu ya kupumzikia...ni hilo tu. Hamna la kutisha hapo bossHapo ulipo bold unanitisha mkuu tafadhali fafanua
Ahaa hilo halina shida hasa sisi wanaume hatuna vingi vya kubeba nakumbuka jkt nilibeba tranka lina trak basi na raba sabuni na dawa ya mswaki lilikua jepesi kama karatasi nikawa nalitumia kuvundikia maparachichiKama hupendi usumbufu tu siku ya kwanza kufika kambini basi nakushauri usiwe na mizigo mingi sana...maana itakulazimu kuibeba kwa umbali mkubwa kidogo kutoka getini mpaka sehemu ya kupumzikia...ni hilo tu. Hamna la kutisha hapo boss
Kwenye wengi, wezi hawakosekani.Kosa la wizi ni la kukufukuzisha mafunzo. Ingawa sheria ni kali ,ila hao watu wapo na watu wanaibiana.Ukikamatwa na ushahidi basi unafukuzwa.Tranka ni MUHIMUAhaa hilo halina shida hasa sisi wanaume hatuna vingi vya kubeba nakumbuka jkt nilibeba tranka lina trak basi na raba sabuni na dawa ya mswaki lilikua jepesi kama karatasi nikawa nalitumia kuvundikia maparachichi
Kwahyo hitimisho kuhusu tranka kwa hizi kambi za mafunzo mkuu we unaona ni vyema ? Maana nilijua kidogo zitakuwa na ustaarabu
Pamoja kiongoziKwenye wengi, wezi hawakosekani.Kosa la wizi ni la kukufukuzisha mafunzo. Ingawa sheria ni kali ,ila hao watu wapo na watu wanaibiana.Ukikamatwa na ushahidi basi unafukuzwa.Tranka ni MUHIMU
Kama ni muelewa na aelewe maneno uliyoyanenaKama hupendi usumbufu tu siku ya kwanza kufika kambini basi nakushauri usiwe na mizigo mingi sana...maana itakulazimu kuibeba kwa umbali mkubwa kidogo kutoka getini mpaka sehemu ya kupumzikia...ni hilo tu. Hamna la kutisha hapo boss
Fani yangu ni Electrical level threeKama anafani hata bila Jakata unatoboa ti
Kwa mda gani kwenda huko jkt kujitolea mpaka watangazi nafasi au hata kama hawajatangaza??Nenda kujitolea JKT
Shida jkt niliombaga sikufanikiwa tukaishiaga tu wilayaniUkapige jakata
Mie hata jkt sijapita je napitaje hukonkwingineNdio uwe na mbanga kama mbuyu na uhakiki ukipita. Na lazima upite mfano kwa haya majeshi ya wizara ya ndani jua kwamba watakurudisha
Sijajua kwa jw
Utakaa miaka miwili ya mkataba kambini ndani ya hyo miaka wanaweza kuja ukaomba ukapata mkataba ukiisha bado hawajaja unaomba kuongeza mkataba hapa wanakupa mmoja wa mwisho wasipokuja unarud zako homeKwa mda gani kwenda huko jkt kujitolea mpaka watangazi nafasi au hata kama hawajatangaza??
NENDA MSATA SAIVI WANAPOKEA WATU.. UNAWEZA KUPATA BAHATI BOYNDOTO YANGU NI KUINGIA JESHINI / KUJIUNGA NA JESHI , MSAADA NATIMIZAJE???
NENDA MSATA SAIVI WANAPOKEA WATU.. UNAWEZA KUPATA BAHATI BOY