Oh okayHapan wameenda wale waliosamehewa na mkuu.. ila ukipat connectn unaingia chombonnnn
Baada ya sensa mkuu parefu sana aiseekwajinsi navo pelekewa pumzi ya moto na maisha kitaa.sielewi hawa polis wtakuja lini tena kuchukua watu!kama kibali wamepewa ila wamekausha kinoma
Tanpol ndo nin tena au policeMagereza washeleweshe tu huo mkeka nipige dili la sensa
Nikikosa wawahi tu
Nikikosa kote tusubiri tu Tanpol
NdioTanpol ndo nin tena au police
Hawawezi chukua wengine kwa sasa wakati bado watu wapo CCP hawajamaliza mafunzo. Mwishoni mwa mwezi wa 8 ndio wanatoka huko.Sensa ikipita wataanza mchakato huo wa kuchukua wengine.kwajinsi navo pelekewa pumzi ya moto na maisha kitaa.sielewi hawa polis wtakuja lini tena kuchukua watu!kama kibali wamepewa ila wamekausha kinoma
Msata ipo mkoa gani kakaNENDA MSATA SAIVI WANAPOKEA WATU.. UNAWEZA KUPATA BAHATI BOY
mkuu wanakuja wepi hao?Ijumaa ikipita
Makuruti wapya jiandaeni
Hawa waliofanya magereza kwanzia siku hyo na kuendelea wanapata mkeka waomkuu wanakuja wepi hao?
sawa afsaHawa waliofanya magereza kwanzia siku hyo na kuendelea wanapata mkeka wao
Waliofanya usaili mei tfs mkeka umetokasawa afsa
Wewe ni Clashon?Usiwe unawaza connection kila saa tu jiamini Kaka
Kwahyo pakiwa na connection ndio usiombe ?
Clashon ni nini mkuuWewe ni Clashon?
Wataajiri vipi wakat bado kozi haijamalizika huko ya walioingia mwak jana...kuweni na subiraIv polisi bado tu ... Au
Tareh 26 August wanaapa ccp hukoWataajiri vipi wakat bado kozi haijamalizika huko ya walioingia mwak jana...kuweni na subira
watoe mapema watu tupige usaili tujueWataajiri vipi wakat bado kozi haijamalizika huko ya walioingia mwak jana...kuweni na subira