spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 6,026
- 15,571
Sure mzee September hapa tutaondoka wotee in sha Allahsina hakika na unachosema ila incase nimepata upenyo kuingia huko sito jaribu kurisk .maana sio kwa kupigika huku kitaa
Sure mzee September hapa tutaondoka wotee in sha Allahsina hakika na unachosema ila incase nimepata upenyo kuingia huko sito jaribu kurisk .maana sio kwa kupigika huku kitaa
hv ni mpka september mkuu?ingekua poa wangekuja hii julaiSure mzee September hapa tutaondoka wotee in sha Allah
Wanakuja baada ya sensah
hv ni mpka september mkuu?ingekua poa wangekuja hii julai
nimeona kuna hzi pia zitakuja sijui zitakua zakudumu ama tempoWanakuja baada ya sensa
Zinaweza kuwa za mda kama zile za walinzi tfs za juzi hapanimeona kuna hzi pia zitakuja sijui zitakua zakudumu ama tempo
Zinaweza kuwa za mda kama zile za walinzi tfs za juzi hapa
Wananolewa tu sahivi
Yaah ngoja tuoneNeema inakuja mapoti tushone tutulie
kuna harufu ya kutoka kitaa huu mwaka .mama anaupiga mwingi kinomaNeema inakuja mapoti tushone tutulie
Tukauane hukohuko tu maana ukiwaza inafika kipindi huna hela ya vocha uunajisemea tu bora ubahatishe hukoaiseeh kufukuzana na tembo msaala ila kwa msoto huu chance ikiwepo naomba maana maslai mazuri malia
uzuri ni kwamba kambini mwao kuna kua na maduka ya vifaa.mfano mm nikiwa mafinga jkt tranka nilinunua kwa maservice man.coz vitendo vya wizi ni vingi sana so kama unaogopa kuaibika ni bora ukaenda na akiba mfukoni mkuuOyaa jamani hivi depo Kiwira au Ccp wanaendaga na ma tranka? maana wizi sio mzuri kwakweli
Ila
Unaweza ukaenda na tranka kumbe hawaruhusiwi unaenda kuwa kichekesho kule kama wale first year wa UDOM walio ripoti na ma tranka walipigwa hadi na picha
Mpka leo sijapata jibu wanaenda nao wajuzi tafadhali ?
vp harufu ya kiwira inanukia?Oyaa jamani hivi depo Kiwira au Ccp wanaendaga na ma tranka? maana wizi sio mzuri kwakweli
Ila
Unaweza ukaenda na tranka kumbe hawaruhusiwi unaenda kuwa kichekesho kule kama wale first year wa UDOM walio ripoti na ma tranka walipigwa hadi na picha
Mpka leo sijapata jibu wanaenda nao wajuzi tafadhali ?
Mtupe hizo ronja jmn nasisi tujue mbona hatuelewi au kuna intake inakujakuna harufu ya kutoka kitaa huu mwaka .mama anaupiga mwingi kinoma
Haha hamna mkuu kuhusu Kiwira tumuachie mola hili swali niliuliza mwaka jana sikupata jibuv
vp harufu ya kiwira inanukia?
mkipata nafasi muwe mnatoa updates coz inatupa faraja pia kuona kumbe inawezekana kuchomoka kitaaa
Shida hivyo vitu unabebaja na sijui kama unaweza kuta hayo maduka kwenye hizo kambi maana kule ni tofauti na jktuzuri ni kwamba kambini mwao kuna kua na maduka ya vifaa.mfano mm nikiwa mafinga jkt tranka nilinunua kwa maservice man.coz vitendo vya wizi ni vingi sana so kama unaogopa kuaibika ni bora ukaenda na akiba mfukoni mkuu
Kaka unauhakika nini naona unalizia matrankaShida hivyo vitu unabebaja na sijui kama unaweza kuta hayo maduka kwenye hizo kambi maana kule ni tofauti na jkt
Ngoja niulizie washkaji ambao wamepita hukoShida hivyo vitu unabebaja na sijui kama unaweza kuta hayo maduka kwenye hizo kambi maana kule ni tofauti na jkt
Hamna mkuu hili swali nililouliza ni la muhimu sana kwa ndugu zetu watakaopata nafasi ili wakipita huku wakisoma wajueKaka unauhakika nini naona unalizia matranka
Poa poa mkuun
Ngoja niulizie washkaji ambao wamepita huko