mbona mpiga dili neno la busara sana, yani huyo nabii frank ni mwiziiiiii na kibaka tu mzoefu. Siamini katika upuuzi wake hata theluthiUna maana gani unaposema ni mpiga dili?
Eeeeh yani kabisa uache usingizi wako uende ukamsikilize yule muhuni? Unao muda wa kupoteza sana weweDon't judge you will be judged..! Huwa sihukumu watumishi wa Mungu maana walishaniponya kutoka kwenye marogo ya dunia na Nina tabia ya kuwa non-judgemental.
Nimeona na bango lake pale Posta kwamba atakuwa na Semina kubwa ya kuvuka Mwaka kuanzia tarehe 27 jijini Dar pale Boko Magengeni..nitahudhuria kusikiliza injili ya bwana.
Unaweza kuulizia Biblia msikitini?Leo wakati nawasha televisheni yangu ghafla nikakutana na kipindi chake cha uponyaji wa maradhi. Nimeona watu wakitoa shuhuda mbalimbali na wengine wakipokea uponyaji mbele ya camera, nikapata shauku ya kumfahamu huyu mtumishi ni nani maana inaonekana huduma zake si mchezo maana watu wanatoa shuhuda kupona maradhi wanayosema kwamba walishindwa kutibiwa hospitalini.
Unaweza kuulizia Biblia msikitini?Leo wakati nawasha televisheni yangu ghafla nikakutana na kipindi chake cha uponyaji wa maradhi. Nimeona watu wakitoa shuhuda mbalimbali na wengine wakipokea uponyaji mbele ya camera, nikapata shauku ya kumfahamu huyu mtumishi ni nani maana inaonekana huduma zake si mchezo maana watu wanatoa shuhuda kupona maradhi wanayosema kwamba walishindwa kutibiwa hospitalini.
Unaweza tu.Unaweza kuulizia Biblia msikitini?
Usihukumu jamani.Mwizi tu, mhuni m1 anayewaibia wananchi mazezeta kwa kupitia maigizo yake hayo. Ni muhuni tu huyo hana Mungu huyo.
Anajenga boonge la kanisa Pongwe TangaMhuni mpiga dili kwa wasiojielewa. Alikuwa na kanisa Tanga-majestic cinema hall. amefukuzwa sijui yuko wapi. Mhuni tu!
Yule jamaa na mm nilimwona leo napata shauku ya kutaka kumjua ni nani hasa,tena background,mungu ananionaLeo wakati nawasha televisheni yangu ghafla nikakutana na kipindi chake cha uponyaji wa maradhi. Nimeona watu wakitoa shuhuda mbalimbali na wengine wakipokea uponyaji mbele ya camera, nikapata shauku ya kumfahamu huyu mtumishi ni nani maana inaonekana huduma zake si mchezo maana watu wanatoa shuhuda kupona maradhi wanayosema kwamba walishindwa kutibiwa hospitalini.
huyu jamaa anaponya 100% naaamini alimponya mdogo wangu alikua na kifafa ila sipendi watu wanavyomuabudu kanisani kwake akiingia wote mnampigia magoti hilo halikunifurahisha ila kwasababu nlikua na shida nlipiga na dogo akapona
Angalia asije akasema hutafika mwezi March 2017Leo wakati nawasha televisheni yangu ghafla nikakutana na kipindi chake cha uponyaji wa maradhi. Nimeona watu wakitoa shuhuda mbalimbali na wengine wakipokea uponyaji mbele ya camera, nikapata shauku ya kumfahamu huyu mtumishi ni nani maana inaonekana huduma zake si mchezo maana watu wanatoa shuhuda kupona maradhi wanayosema kwamba walishindwa kutibiwa hospitalini.
Sure, anajenga na ushirikiano na kijana mmoja wa kihaya , walifukuzwa majestic cinemaAnajenga boonge la kanisa Pongwe Tanga
Wajinga ndio waliwaoLeo wakati nawasha televisheni yangu ghafla nikakutana na kipindi chake cha uponyaji wa maradhi. Nimeona watu wakitoa shuhuda mbalimbali na wengine wakipokea uponyaji mbele ya camera, nikapata shauku ya kumfahamu huyu mtumishi ni nani maana inaonekana huduma zake si mchezo maana watu wanatoa shuhuda kupona maradhi wanayosema kwamba walishindwa kutibiwa hospitalini.