maghambo619
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,538
- 1,360
Mungu ndio mtoa hukumu!Kwani wanaotapeliwa wote hua wanatoaga wakiwa wamechukia??
Kazi ya kuhukumu kwamba huyu ni tapeli au sio hiyo si yako.
Mungu hadhihakiwi, kama wanamdhihaki Mungu watakutana na hasira yake!