mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 18,007
- 30,919
Imani ni ufunuo wa Mungu kwa mwanadamu; ni ile hali ya akili ya mtu kupokea ukweli uliofunuliwa na Mungu akiambatanisha nafsi yake kwa Mungu.
Kuhani Musa Richard Mwacha amejulikana kama mtumishi wa Mungu mwenye imani kwa Kristo. Na amekua na huduma yake katika jiji la Dar es salaam kwa miaka michache sasa.
Ukifuatilia ni muda mfupi tangu aanze huduma ila utakutana na mambo mengi sana na kati ya hayo mengi ni style ya mahubiri yake, miujiza na maajabu kwenye ibada zake na idadi kubwa ya waumini alionao ndani ya muda mfupi sana maana miaka 3 au mi4 bado huduma ni changa.
Watu wengi tunajiuliza mengi sana juu ya mtumishi huyu. Wengi wetu hatuamini kama yanayonekana kuotokea ni ya kweli lakini pia wapo wanaoamini ni kweli.
ILA SWALI MOJA LA MSINGI "KUHANI MUSA NI NANI HASWA?
Shuhuda zimetolewa hadharani, na ni shuhuda zinazodhihirisha mambo magumu kufikirika katika hali ya kawaida. Ila hawa walioshuhudia wapo kati yetu, mtaani kwetu hata majumbani kwetu, kigoma, chato, kilimanjaro, sumbawanga, kagera, Dar es salaam mmetisha sana. Wenyeji wa huko mnasemaje kuhusu Kuhani Musa?
Fred William Rwegasira.
Mr Rwegasira ni mzaliwa wa mkoa wa Kagera, Bukoba kule, Mkazi wa Salasala - Dar es salaam. Na sasa anaishi kimara
Innocent Carol Paulo
Innocent Carol Paulo ni mzaliwa wa Chato. Na mkazi wa Tabata - Dar es salaam
Levina Lyamuya na mdogo wake
Levina ni mwenyeji wa Kilema, Moshi- Kilimanjaro
Malkia
Wakorinto
KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NI NANI??
[/QUOTE]
Sumbawanga mtoto afufuka
ttps://youtu.be/PHUUbiYOEBY
Cancer
Baada ya siku2
Baada ya miezi 2
Nimekuelewa sana. Ufufuo upo na uponyaji upo
Babu Ochu; mimi, wewe, huyo malkia wa freemason sote ni watanzania. Kila kitu kiko wazi upande wa Kuhani Musa tena vipo online hapo.
Sasa nadhani ili kuuthubitishia umma kwamba huo ni upuuzi kama unavyosema lazima uthibitishe kwamba hizo shuhuda ni za uongo. Hivi vitu havihitaji hata hasira vinahitaji tuu kuthibitishwa
Kuhusu matumizi ya biblia vifungu vya kuogofya vya ufunuo na agano la kale sioni kama vinaogofya kuliko matendo yanayofanyika na wanadamu wa leo, na wala hauna kipande cha maandiko matakatifu kisichotakiwa kutumika
Zaidi ya yote ili neno liweze kuwasaidia watu lazima lihubiriwe kwa nyakati na mazingira waliyomo na wanayoishi
Kwanini tunaongea maneno mengi ya kukataa bila kusema hayo anaayofanya yapo au hayapo?
Turudi kwenye maada, tuje na shuhuda kwamba yanayotendeka pale ni ya uongo au ni ya ukweli kwa maslahi makubwa ya umma
Umesema "Mtu akianza mara nabii, mtume au kuhani, mwulize ni nani aliyempa hicho cheo;" mimi nitakuuliza je, kina Ibrahimu, Musa, Yakobo walipewaga vyeo vyao na nani
Nimepata video ya Kuhani Musa akielezea historia yake kwa ufupi sana
Kuhusu hilo la kuandamana kwenda mortuary na kiongozi wa dini ili akafufue wafu nalo ulifikirie vizuri.
Habari za miujiza ya kufufua wafu ipo tangu enzi za manabii na Yesu Kristo mwenyewe lakini sio kila mtu anayekufa alifufuliwa
Nimesikiliza baadhi ya shuhuda za watu kufufuka sikuona popote pale ambapo amesema anataka kuwafufua; waliofikwa na hayo matukio ndio wamerudi kupaza sauti ya ufufuo
Sijawahi kusikia hilo la kuwako na kiingilio au la kutoa pesa ili watu waponywe. Labda mama kubwa na wengine hao walioshuhudia hapo juu au ndugu na jamaa zao watupatie ukweli wa hili ili tumjue Kuhani Musa zaidi
GREAT THINKERS wa Jamiiforums hivi huyu KUHANI MUSA RICHARD MWACHA ni nani haswa?
Kuhani Musa Richard Mwacha amejulikana kama mtumishi wa Mungu mwenye imani kwa Kristo. Na amekua na huduma yake katika jiji la Dar es salaam kwa miaka michache sasa.
Ukifuatilia ni muda mfupi tangu aanze huduma ila utakutana na mambo mengi sana na kati ya hayo mengi ni style ya mahubiri yake, miujiza na maajabu kwenye ibada zake na idadi kubwa ya waumini alionao ndani ya muda mfupi sana maana miaka 3 au mi4 bado huduma ni changa.
Watu wengi tunajiuliza mengi sana juu ya mtumishi huyu. Wengi wetu hatuamini kama yanayonekana kuotokea ni ya kweli lakini pia wapo wanaoamini ni kweli.
ILA SWALI MOJA LA MSINGI "KUHANI MUSA NI NANI HASWA?
Shuhuda zimetolewa hadharani, na ni shuhuda zinazodhihirisha mambo magumu kufikirika katika hali ya kawaida. Ila hawa walioshuhudia wapo kati yetu, mtaani kwetu hata majumbani kwetu, kigoma, chato, kilimanjaro, sumbawanga, kagera, Dar es salaam mmetisha sana. Wenyeji wa huko mnasemaje kuhusu Kuhani Musa?
Fred William Rwegasira.
Mr Rwegasira ni mzaliwa wa mkoa wa Kagera, Bukoba kule, Mkazi wa Salasala - Dar es salaam. Na sasa anaishi kimara
Innocent Carol Paulo
Innocent Carol Paulo ni mzaliwa wa Chato. Na mkazi wa Tabata - Dar es salaam
Levina Lyamuya na mdogo wake
Levina ni mwenyeji wa Kilema, Moshi- Kilimanjaro
Malkia
Wakorinto
KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NI NANI??
[/QUOTE]
Sumbawanga mtoto afufuka
ttps://youtu.be/PHUUbiYOEBY
Cancer
Baada ya siku2
Baada ya miezi 2
Mimi naamini kuna kuponywa na kufufuliwa kwa mtu/watu ikiwa anayeomba anamwamini Mungu na Mungu amempa karama ya uponyaji.
Walishafufuka wengi kabla na baada ya kuja Yesu Kristo.
Nimekuelewa sana. Ufufuo upo na uponyaji upo
mamad 3/4 ya mahubiri yake ni vita yake na wachawi na majini, kwa kutumia vifungu vya kuogofya toka agano la kale na ufunuo
Kwa sisi tulio kuwa naye Arusha kabla ya fani yake ya Sasa tunakumbuka aliwahi kupata matatizo ya afya ya akili na alipopata ahueni alidai alirogwa kwa kutupiwa jini
Kingine Google falsafa ya Freemansory ulinganishe na vita yake akitumia maskini tena wengine wa kike wakijiita ma malkia wa Freemasons
Cha kusikitisha anatumia watoto wadogo kudai wanaua mpaka watu mia na kula nyama za maiti ( upuuzi mtupu)
Babu Ochu; mimi, wewe, huyo malkia wa freemason sote ni watanzania. Kila kitu kiko wazi upande wa Kuhani Musa tena vipo online hapo.
Sasa nadhani ili kuuthubitishia umma kwamba huo ni upuuzi kama unavyosema lazima uthibitishe kwamba hizo shuhuda ni za uongo. Hivi vitu havihitaji hata hasira vinahitaji tuu kuthibitishwa
Kuhusu matumizi ya biblia vifungu vya kuogofya vya ufunuo na agano la kale sioni kama vinaogofya kuliko matendo yanayofanyika na wanadamu wa leo, na wala hauna kipande cha maandiko matakatifu kisichotakiwa kutumika
Zaidi ya yote ili neno liweze kuwasaidia watu lazima lihubiriwe kwa nyakati na mazingira waliyomo na wanayoishi
Mimi nimepona kupitia maombezi na mahubiri yake na sijachargiwa hata senti. Issue hii Iko kiimani zaidi na cha muhimu wenye shida wanaenda wenyewe. Kama utaniita mjinga Kwa kuwa nimeenda Kwa Kuhani Mussa haina shida.Sijavunja Sheria yoyote ya Nchi na hayajakufika.
Siruhusu MTU yoyote akubaliane na Mimi lakini hili ni Jambo lililonitokea Nina miezi miwili nasali pale hata sijaenda kushuhudia bado.Sina MTU/ kiongozi ninaemfahamu pale baada ya kuumwa muda mrefu nilimshirikisha Rafiki yangu Yuko Mkoani,na matatizo mengine ya binafsi akaniambia niende pale. Kwanza lazima nikiri SIJAWAHI kusali kwenye haya Makanisa sababu sikuwa NAYAAMINI. Baada ya kwenda pale hata ugonjwa uliokuwa unanisumbua Kwa miaka 12 UMEYEYUKA. Ndio maana nasema IMANI Kwanza Mimi yamenitokea na siwezi kunyamaza hata nikiitwa mjinga cha muhimu NIMEPONA.
'WATU' wakija kuamka tayari jamaa hawahitaji tena, ... na huenda akawa hata mbunge! 😅
mama D ameshakula fweza ya promo! ... KALAGA BAHO
..!
Kwanini tunaongea maneno mengi ya kukataa bila kusema hayo anaayofanya yapo au hayapo?
Turudi kwenye maada, tuje na shuhuda kwamba yanayotendeka pale ni ya uongo au ni ya ukweli kwa maslahi makubwa ya umma
Kuna hoja mbili ambazo kwenye mada kama hii zinapaswa kujibiwa.
Mtu akianza mara nabii, mtume au kuhani, mwulize ni nani aliyempa hicho cheo;
Kwenye miujiza kumekuwa na usanii mwingi, mara utasikia kafufua mtu dar, Moro , Mwanza, etc, wakati inakuwa ni usanii mtupu kama ule wa Gajwima kusema anafufua wafu.
Kiongozi wa dini akisema ana uwezo wa kufufua wafu, watu wandaamane naye mpaka mortuary iliyo karibu wakamkabidhi mwili ili aufufue, akishindwa wahakikishe wanamfungia huko mortuary. Hizi tabia za "kufufua "watu hai inabidi zikome.
Umesema "Mtu akianza mara nabii, mtume au kuhani, mwulize ni nani aliyempa hicho cheo;" mimi nitakuuliza je, kina Ibrahimu, Musa, Yakobo walipewaga vyeo vyao na nani
Nimepata video ya Kuhani Musa akielezea historia yake kwa ufupi sana
Kuhusu hilo la kuandamana kwenda mortuary na kiongozi wa dini ili akafufue wafu nalo ulifikirie vizuri.
Habari za miujiza ya kufufua wafu ipo tangu enzi za manabii na Yesu Kristo mwenyewe lakini sio kila mtu anayekufa alifufuliwa
Nimesikiliza baadhi ya shuhuda za watu kufufuka sikuona popote pale ambapo amesema anataka kuwafufua; waliofikwa na hayo matukio ndio wamerudi kupaza sauti ya ufufuo
Asante. Ingawa hakuna sehemu yeyote Yesu alipokea pesa ili kumponya mtu au kiingilio cha kumuona.
Kingine nisichokipenda ni kutumia vitu kama maji, mafuta, juice au chumvi kama nyenzo ya uponyaji. Hii inakuwaje mtu yupo hapo na mtumishi yupo...kwa nini asiombe kwa jina la Mungu ili amponye? Ingekuwa maji yanaombewa na kupelekewa walio mbali hapo sawa.
Mimi binafsi siwezi kwenda mtumishi anayedai pesa. Never. Kwa sababu hakuna mtu anayemlipa Mungu pesa kulitumia jina lake.
1 Pet 1:18-19 inasema "Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu" bali kwa damu ya Yesu.
Sijawahi kusikia hilo la kuwako na kiingilio au la kutoa pesa ili watu waponywe. Labda mama kubwa na wengine hao walioshuhudia hapo juu au ndugu na jamaa zao watupatie ukweli wa hili ili tumjue Kuhani Musa zaidi
Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?
Kutana Tausi wa Bongomovie na mwanae kwa Kuhani Musa.
Wana Dar es salaam wajulieni hali kina Faiza, Bibi Nyaulingo, Mama Zuu na Mama Jack
View attachment 2130043
View attachment 2130042
Majirani msisahau kumkumbusha faiza akabidhishe ile pete na mikufu kwa usalama wake
Viongozi wa ulinzi na usalama wa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania mmesikia kina faiza wana mpango gani na rais wetu? Kama Rais hayuko salama na nyie hamko salama. Hili swala la nguvu za giza mliangalie kwa sura nyingine sasa😎😎
GREAT THINKERS wa Jamiiforums hivi huyu KUHANI MUSA RICHARD MWACHA ni nani haswa?