Nabaki Afrika

Nabaki Afrika

Wana mawakala wa products zao sikuwahi fikiria kwenda ofisin kwao
now umenipa idea...

Mi siku hizi hata nikihitaji misumari naenda Nabaki Afrika hapo hapo head office....
 
Mi siku hizi hata nikihitaji misumari naenda Nabaki Afrika hapo hapo head office....

Hahaaaa misumari kilo moja unaenda tazama 'vifaa' ...
itabidi niende aisee naona wamekugusa...au labda
hao warembo ni familia moja?
 
Nadhani week hii watapokea wateja wengi wa kuulizia bidhaa, nasikia huyo dada mnene rnnene wa wastani Boss Kubwa wa Nabaki Afrika anamega.
 
Hii sehemu ina totoz kali sana.

Kuanzia kule kwenye showroom hadi ile sehemu ya kulipia.

Ni totoz kali tu mwanzo mwisho hadi mteja unajiskia raha na kukufanya urudi hata kama huna cha kununua.

Nampongeza sana mmiliki wa Nabaki Afrika kwa kunifanya niwe mteja wa kudumu.
Umerudi lini bongo mbeba box mwenzangu
 
Ndani kipande cha mti. Naondoka Afrika (Nabaki Afrika) ina maduka mengi kidogo hata pale Mbezi Beachi katika kituo cha mafuta lipo duka lao na wamasai
Halafu jiulize kwa nini hao mabinti na uzuri wote huo hakuna mwenye ndoa hata mmoja? Wote ni takeaway tuu
 
Mi siku hizi hata nikihitaji misumari naenda Nabaki Afrika hapo hapo head office....
Mkuu umekuja bongo kila mitaa ukikatiza unakutana na totoz za ukweli ndio maana kila mara unatuletea threads humu.... angalia usije ukasahau kurudi kwenye box
 
Mkuu umekuja bongo kila mitaa ukikatiza unakutana na totoz za ukweli ndio maana kila mara unatuletea threads humu.... angalia usije ukasahau kurudi kwenye box

Hahaha kwani umejuaje kuwa nimekuja bongo?

Kama natunga tu hizi stori kutokana labda na tajiriba ya mwaka jana au juzi je?

Au siwezi kuwa kwenye boksi halafu nikawa nawaletea habari kama hizi?
 
Hahaha kwani umejuaje kuwa nimekuja bongo?

Kama natunga tu hizi stori kutokana labda na tajiriba ya mwaka jana au juzi je?

Au siwezi kuwa kwenye boksi halafu nikawa nawaletea habari kama hizi?
Hujanza leo....tena upo kwa muda mrefu.
 
Nasikia ata pale DSTV nako kuna watoto hatari!
Sasa sijui hao wa Nabaki Africa watakuwa wamewafunika?
Itabidi siku nifanye ziara ya kushtukiza...!
 
Back
Top Bottom