Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,400
- 138,649
- Thread starter
- #161
Uongozi wa Nabaki Africa wametumia mbinu ya ajabu sana kupunguza price bargaining power ya wanunuzi. Kuna siku nilienda kununua vifaa vya ujenzi, nilistukia kesho yake kwamba nilisahau kuomba discount.
Hahahaaaa kumbe wahanga tuko wengi hahahahaa.....