Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,402
- 138,668
- Thread starter
- #61
Unaongelea ofisi yao hii ya Mikocheni kama unaenda Cocacola?
Yup...hapo hapo.
Totoz kali sana yaani....grade A totoz.
Unaongelea ofisi yao hii ya Mikocheni kama unaenda Cocacola?
BOX zinalipa mkuu. umeona eeh?Ndio kaja kututangazia kwamba anajenga kijanja janja hahaha kweli box limeshamiri
Pale ukienda kuchukua bati zako za kutosha ndio watakuelewa hao warembo si unaona mbeba box hadi kafungua thread.
BOX zinalipa mkuu. umeona eeh?
ha ha ha ha ngja aje akujibu MLA VUMBI.Mwambie yule rafiki yako Copenhagen nae arudi kujenga.. Naona Nyani kashtuka baada ya wale watanzania kuuliwa double double kule US kaamua kurudi bongo kujenga
Mimi nilifikiri una AMEX BLACK CARD!!Nilienda pale kununua bath tubs na bathroom sinks. Nilipoenda kwenye Accounting kulipia nikatoa CapitalOne Platinum card ili nichanje....kimdada kikanambia kwa bill kubwa namna hiyo nilipie kwa pesa taslimu tu.
Basi kakaiangalia hiyo kadi yangu....kakaniangalia na mimi...kakaanza kutabasamu tu.
Msukuma nikachukua namba......now stay tuned for the next episode which will be live from Spur Steak and Burgers......
ha ha ha ha ngja aje akujibu MLA VUMBI.
Hii sehemu ina totoz kali sana.
Kuanzia kule kwenye showroom hadi ile sehemu ya kulipia.
Ni totoz kali tu mwanzo mwisho hadi mteja unajiskia raha na kukufanya urudi hata kama huna cha kununua.
Nampongeza sana mmiliki wa Nabaki Afrika kwa kunifanya niwe mteja wa kudumu.
Kule hata kuongeza balcony inabidi ukaombe kibali achilia mbali kujenga!Hahahahaha na mavumbini ndio karudi kujenga... Unafikiri kule mlikuwa mna uwezo wa kujenga.. Aaahh kujenga kuna raha yake, unaplan ni vipi nyumba yako unataka iwe kuliko kule ukipata sana unaishia kununua tu zilizojengwa..
Kule hata kuongeza balcony inabidi ukaombe kibali achilia mbali kujenga!
Hii sehemu ina totoz kali sana.
Kuanzia kule kwenye showroom hadi ile sehemu ya kulipia.
Ni totoz kali tu mwanzo mwisho hadi mteja unajiskia raha na kukufanya urudi hata kama huna cha kununua.
Nampongeza sana mmiliki wa Nabaki Afrika kwa kunifanya niwe mteja wa kudumu.
Mimi nilifikiri una AMEX BLACK CARD!!
Niliwahi kununua products zao...kuna toto moja nyeupe pana pana hivi unaweza kujikuta unanunua kitu usichotarajia bila kuhisi maumivu...asante sana mkuu kwa kuweka bandiko hili...nadhani soon meneja masoko hatakuwa na kazi maana mabazazi wengi tutaingia front line wenyewe!
Enheee....kumbe we unajua ninachokiongelea.
Kuna siku niliamua tu kwenda kuangalia bei za brackets za gutters nikalinganishe na za kwa Mwarabu nikaishia kununua hizo hizo za hapo Nabaki Afrika.
Hapana kabisa chezea Grade A totoz bana.
Serema selema NN selema Nabaki !!!Nilienda pale kununua bath tubs na bathroom sinks. Nilipoenda kwenye Accounting kulipia nikatoa CapitalOne Platinum card ili nichanje....kimdada kikanambia kwa bill kubwa namna hiyo nilipie kwa pesa taslimu tu.
Basi kakaiangalia hiyo kadi yangu....kakaniangalia na mimi...kakaanza kutabasamu tu.
Msukuma nikachukua namba......now stay tuned for the next episode which will be live from Spur Steak and Burgers......
Sioni sababu ya kwenda USA wakati ARUSHA ipo.Hahahahaha na mavumbini ndio karudi kujenga... Unafikiri kule mlikuwa mna uwezo wa kujenga.. Aaahh kujenga kuna raha yake, unaplan ni vipi nyumba yako unataka iwe kuliko kule ukipata sana unaishia kununua tu zilizojengwa..
Sioni sababu ya kwenda USA wakati ARUSHA ipo.