Nabaki Afrika

Nabaki Afrika

Hii sehemu ina totoz kali sana.

Kuanzia kule kwenye showroom hadi ile sehemu ya kulipia.

Ni totoz kali tu mwanzo mwisho hadi mteja unajiskia raha na kukufanya urudi hata kama huna cha kununua.

Nampongeza sana mmiliki wa Nabaki Afrika kwa kunifanya niwe mteja wa kudumu.
Honestly nilivyoona heading halafu MMU nikajua umeamua kubaki bongo kwa sababu ya totos.......kumbe totoz za NABAKI AFRIKA!
 
Pale ukienda kuchukua bati zako za kutosha ndio watakuelewa hao warembo si unaona mbeba box hadi kafungua thread.

Nilienda pale kununua bath tubs na bathroom sinks. Nilipoenda kwenye Accounting kulipia nikatoa CapitalOne Platinum card ili nichanje....kimdada kikanambia kwa bill kubwa namna hiyo nilipie kwa pesa taslimu tu.

Basi kakaiangalia hiyo kadi yangu....kakaniangalia na mimi...kakaanza kutabasamu tu.

Msukuma nikachukua namba......now stay tuned for the next episode which will be live from Spur Steak and Burgers......
 
Hii sehemu ina totoz kali sana.

Kuanzia kule kwenye showroom hadi ile sehemu ya kulipia.

Ni totoz kali tu mwanzo mwisho hadi mteja unajiskia raha na kukufanya urudi hata kama huna cha kununua.

Nampongeza sana mmiliki wa Nabaki Afrika kwa kunifanya niwe mteja wa kudumu.
kwa hiyo mkuu huwa unarudi pale kununua BIDHAA au MBUNYE?
 
Hii sehemu ina totoz kali sana.

Kuanzia kule kwenye showroom hadi ile sehemu ya kulipia.

Ni totoz kali tu mwanzo mwisho hadi mteja unajiskia raha na kukufanya urudi hata kama huna cha kununua.

Nampongeza sana mmiliki wa Nabaki Afrika kwa kunifanya niwe mteja wa kudumu.
Unaongelea ofisi yao hii ya Mikocheni kama unaenda Cocacola?
 
Back
Top Bottom