Nabaki Afrika

Nabaki Afrika

Ndio kaja kututangazia kwamba anajenga kijanja janja hahaha kweli box limeshamiri
Kuna umuhimu wa kujenga, siku ukifariki huko wakulete Bongo wakute unaingizwa kwnye nyumba ya Baba yako tena ambayo inavuja, maiti yako inaona aibu.
 
Kuna umuhimu wa kujenga, siku ukifariki huko wakulete Bongo wakute unaingizwa kwnye nyumba ya Baba yako tena ambayo inavuja, maiti yako inaona aibu.

Kama amekumbuka hilo ni vizuri
 
Back
Top Bottom