amaizing
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 3,616
- 12,369
Lakini Yesu tunaye msoma kwenye Bible alikuwa hatoi huduma ambayo ni Money oriented mfano kuuza Annointed Oil.... Fikiria Chukua Hatua.
Ni kwel Yesu alikuwa hatoi huduma ambayo ni money oriented but kumbuka zile anointing oil and anointing water TB Joshua ananunua na anapark ktk chupa na anasafirisha...so ulitegemea zigaiwe bure??hyo Huduma ingekuwepo had Leo??kumbuka dunia ya sasa bila pesa huwez kufanikisha kitu..