Sina mashaka na tuhuma dhidi ya TB Joshua

ward41

JF-Expert Member
Apr 3, 2022
397
1,394
Screenshot_20240130-093926.jpg


Wengi wetu tunamkumbuka TB Joshua na huduma yake ya ki kanisa.

TB Joshua aliaminika na watu wengi sana Africa na duniani kama nabii wa Mungu.

Mimi kama mfatiliaji sana wa biblia, TB Joshua alikuwa nabii wa uongo. TB Joshua amechangia pakubwa sana kuharibu ufalme wa Mungu.

Biblia inasema wazi kwamba siku za mwisho manabii wengi wa uongo watatokea na kudanganya wengi (Mathayo 24:11).

Haya mahubili ya mafuta ya upako, maji ya upako muasisi mkubwa kizazi hiki ni TB Joshua. Hawa manabii wa mafuta, maji ya upako wamemuiga TB Joshua.

Hawa manabii wanafanya Mambo machafu sana sirini. Tuhuma dhidi ya TB Joshua Sina mashaka nazo maana alikuwa nabii wa uongo.

Maelekezo ya Yesu juu ya maombi ni kwamba tuombe kwa jina la Yesu. Ukiomba nje ya hapo umepotoka.

Tusome maandiko wenyewe kuliko kulishwa matango poli na hawa manabii wa uongo.
 
View attachment 2888142

Wengi wetu tunamkumbuka TB Joshua na huduma yake ya ki kanisa.

TB Joshua aliaminika na watu wengi sana Africa na duniani kama nabii wa Mungu.

Mimi kama mfatiliaji sana wa biblia, TB Joshua alikuwa nabii wa uongo. TB Joshua amechangia pakubwa sana kuharibu ufalme wa Mungu.

Biblia inasema wazi kwamba siku za mwisho manabii wengi wa uongo watatokea na kudanganya wengi (Mathayo 24:11).

Haya mahubili ya mafuta ya upako, maji ya upako muasisi mkubwa kizazi hiki ni TB Joshua. Hawa manabii wa mafuta, maji ya upako wamemuiga TB Joshua.

Hawa manabii wanafanya Mambo machafu sana sirini. Tuhuma dhidi ya TB Joshua Sina mashaka nazo maana alikuwa nabii wa uongo.

Maelekezo ya Yesu juu ya maombi ni kwamba tuombe kwa jina la Yesu. Ukiomba nje ya hapo umepotoka.

Tusome maandiko wenyewe kuliko kulishwa matango poli na hawa manabii wa uongo.
Wewe ndio nabii wa kweli
 
View attachment 2888142

Wengi wetu tunamkumbuka TB Joshua na huduma yake ya ki kanisa.

TB Joshua aliaminika na watu wengi sana Africa na duniani kama nabii wa Mungu.

Mimi kama mfatiliaji sana wa biblia, TB Joshua alikuwa nabii wa uongo. TB Joshua amechangia pakubwa sana kuharibu ufalme wa Mungu.

Biblia inasema wazi kwamba siku za mwisho manabii wengi wa uongo watatokea na kudanganya wengi (Mathayo 24:11).

Haya mahubili ya mafuta ya upako, maji ya upako muasisi mkubwa kizazi hiki ni TB Joshua. Hawa manabii wa mafuta, maji ya upako wamemuiga TB Joshua.

Hawa manabii wanafanya Mambo machafu sana sirini. Tuhuma dhidi ya TB Joshua Sina mashaka nazo maana alikuwa nabii wa uongo.

Maelekezo ya Yesu juu ya maombi ni kwamba tuombe kwa jina la Yesu. Ukiomba nje ya hapo umepotoka.

Tusome maandiko wenyewe kuliko kulishwa matango poli na hawa manabii wa uongo.

wacha wajinga waliwe...
 
Wafiatilie wanaomtuhumu ndio utajua rangi zao, mfano yule msouth Africa, Ajoke na mnigeria!!!

Kashfa ya TB JOSHUA imekuja kuhalalisha msimamo wa PAPA,
Za kuambiwa changanya na akili zako
 
Mambo yenu yamebuma, BBC imeambulia kapa, wajinga ndio wameingia choo cha kike, ukiwa na akili timamu huwezi kuamini maneno ya bla bla ambayo hayana ushahidi, kwa hiyo walikimbilia BBC ili iponye mioyo yao? BBC inatetea ushoga wapi na wapi wanaspoti mtumishi wa Mungu ambaye ameombea mashoga mapepo yakawatoka na kuwa watu wazuri. Maswali ya kujiuliza kwanini Yesu alimuonya kipofu kwa kumpaka kipofu tope kwenye macho? Kwanini maraika alikuwa anakuja kutibua maji pale birika la siloamu? Hayo maji ambayo tb Joshua alikuwa anatumia alikuwa anatumia maandiko, na nyie ambao mnadai mna Mungu wa kweli mmefanya nini cha ajabu? Mbona makanisa yenu yamejaa machukizo? Kiburi, ubahiri, umaskini kwenu, wivu kwenu, uvivu wa kuomba kwenu, kulogwa na wachawi kwenu.
 
Kikubwa alihubiri upendo, angehubiri chuki na ugaidi sidhani kama wewe ungekuwa salama
hata kwenye mziki ukiimba nyimbo za mapenzi unauza mpaka nje ya mipaka, ila ukiimba za harakati utaishia kukimbilia nje ya mipaka.

tuwatolee mfano wasanii wanaoongoza mauzo kwa kuimba mapenzi, vipi mahusiano yao yana afya gani, ila ukija kwa wanaharakati hiphop ngumu ni either hajaoa au ana mke mmoja tu.

shetani anatrick kali ndo maana anawapata wengi kwa sababu vyake vitamu afu vina uwanja mpana wa kufaidi, ila vyenye kweli ya Mungu huwa havina ladha ya utamu afu njia yake ni nyembamba, its time we have to face reality tuache kujipa moyo kwa fantasy zenye ladha ya utamu.
 
View attachment 2888142

Wengi wetu tunamkumbuka TB Joshua na huduma yake ya ki kanisa.

TB Joshua aliaminika na watu wengi sana Africa na duniani kama nabii wa Mungu.

Mimi kama mfatiliaji sana wa biblia, TB Joshua alikuwa nabii wa uongo. TB Joshua amechangia pakubwa sana kuharibu ufalme wa Mungu.

Biblia inasema wazi kwamba siku za mwisho manabii wengi wa uongo watatokea na kudanganya wengi (Mathayo 24:11).

Haya mahubili ya mafuta ya upako, maji ya upako muasisi mkubwa kizazi hiki ni TB Joshua. Hawa manabii wa mafuta, maji ya upako wamemuiga TB Joshua.

Hawa manabii wanafanya Mambo machafu sana sirini. Tuhuma dhidi ya TB Joshua Sina mashaka nazo maana alikuwa nabii wa uongo.

Maelekezo ya Yesu juu ya maombi ni kwamba tuombe kwa jina la Yesu. Ukiomba nje ya hapo umepotoka.

Tusome maandiko wenyewe kuliko kulishwa matango poli na hawa manabii wa uongo.

Kwani hiyo BBC toka lini ilihubiri habari za Yesu Kristo, hadi uiamini? Kwani wewe unaihitaji BBC kujua kama nabii ni wa uongo au kweli?

Ikiwa BBC imetaja nabii wa uongo, ni nabii gani BBC ilisema ni wa kweli? Biblia ilikwambia utawatambua manabii wa uongo kupitia BBC?

Kalaga baho.
 
Mimi kama mfatiliaji sana wa biblia, TB Joshua alikuwa nabii wa uongo. TB Joshua amechangia pakubwa sana kuharibu ufalme wa Mungu.
Ufuska wake!
Kufuru kwa Mola!
Utapeli wa fedha na mali za watu!
Watu waliacha dawa za HIV, Cancer ,diabetes na Pressure na tunaambiwa wengi sana wamekufa!
 
View attachment 2888142

Wengi wetu tunamkumbuka TB Joshua na huduma yake ya ki kanisa.

TB Joshua aliaminika na watu wengi sana Africa na duniani kama nabii wa Mungu.

Mimi kama mfatiliaji sana wa biblia, TB Joshua alikuwa nabii wa uongo. TB Joshua amechangia pakubwa sana kuharibu ufalme wa Mungu.

Biblia inasema wazi kwamba siku za mwisho manabii wengi wa uongo watatokea na kudanganya wengi (Mathayo 24:11).

Haya mahubili ya mafuta ya upako, maji ya upako muasisi mkubwa kizazi hiki ni TB Joshua. Hawa manabii wa mafuta, maji ya upako wamemuiga TB Joshua.

Hawa manabii wanafanya Mambo machafu sana sirini. Tuhuma dhidi ya TB Joshua Sina mashaka nazo maana alikuwa nabii wa uongo.

Maelekezo ya Yesu juu ya maombi ni kwamba tuombe kwa jina la Yesu. Ukiomba nje ya hapo umepotoka.

Tusome maandiko wenyewe kuliko kulishwa matango poli na hawa manabii wa uongo.


TB joshua, Mwamposa - Wahuni wa kawaida.
 
hata kwenye mziki ukiimba nyimbo za mapenzi unauza mpaka nje ya mipaka, ila ukiimba za harakati utaishia kukimbilia nje ya mipaka.

tuwatolee mfano wasanii wanaoongoza mauzo kwa kuimba mapenzi, vipi mahusiano yao yana afya gani, ila ukija kwa wanaharakati hiphop ngumu ni either hajaoa au ana mke mmoja tu.

shetani anatrick kali ndo maana anawapata wengi kwa sababu vyake vitamu afu vina uwanja mpana wa kufaidi, ila vyenye kweli ya Mungu huwa havina ladha ya utamu afu njia yake ni nyembamba, its time we have to face reality tuache kujipa moyo kwa fantasy zenye ladha ya utamu.
Kweli njia ni nyembamba iendayo uzimani
Lakini iendayo upotevuni panaaa balaaa
 
Back
Top Bottom