Ukizeeka sana halafu kumbukumbu zikipotea ndio salama kubwa kwako maana ukiwa na kumbukumbu kali unakaribisha mawazo sana , sometime unakumbuka enzi zako za nguvu unajiona Mkiwa au upweke unakuletea stress kubwa
Sahiv hana kumbukumbu? Sure?
Hivi ukizeeka Sana kumbukumbu huwa Zinapotea?