Yadaiwa mzee Ali Hassan Mwinyi (RIP) hajawahi KUKOPA wala KUKOPESHA. Maana yake hakuwa na tamaa

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,410
Binafsi sijabahatika kukisoma na kukimaliza kitabu kinachoelezea maisha yake kilichoandikwa na mzee huyu mwingi wa ucheshi, uungwana na mbobevu wa lugha tamu ya kiswahili.

Lkn kwa waliokisoma chote wanaeleza mengi sana yanayodhihirisha kuwa hakuwa mtu wa tamaa. Mojawapo ya maelezo hayo ni kwamba "mzee Mwinyi (rip) ktk maisha yake yote hajawahi KUKOPA wala KUKOPESHA.

Hii inaweza kuwa ndiyo siri ya mzee huyu kuishi maisha marefu? Hii inaweza kuwa ndiyo siri ya mzee huyu kuishi maisha yake yote pasipo kuugua (kama ilivuoelezwa na mwanaye Abdul)?

Umewahi kufikiri hali anayopitia mtu anapomkopesha pesa rafiki/ndugu/jamaa halafu akadhulumiwa? Au mtu amekopa fedha benki au kwa ndugu/jamaa halafu akashindwa kurejesha? Afya ya akili huyumba sana na kupelekea maradhi mengi mengine mwilini

Jambo jingine linaloonesha kuwa mzee huyu hakuwa na tamaa ni hili lifuatalo. Mzee Mwinyi amezaliwa 1925 lkn imeandikwa kwenye kitabu chake kwamba 1983 (akiwa na umri wa miaka 58) ndiyo alikuwa ananunua mifuko ya cement na mabati ili ajenge nyumba yake. Ndipo hapo inadaiwa alijiuzulu uwaziri wa mambo ndani na kukumbwa na mkasa wa kufukuzwa kwenye nyumba ya serikali na mrithi wa nafasi yake ya uwaziri wa mambo ya ndani na hakuweza kuondoka na vifaa hivyo.

My take:
Jamani tusiwe na tamaa kwenye maisha, tutakufa kwa stress. Tamaa ilimponza mzee fisi.
 
Tumuombee heri Mzee wetu Hayati Ali Hassan Mwinyi na Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi!
Cha msingi ninachojifunza Mimi ni kwamba kila mtu Mwenyezi Mungu amemwandalia maisha yake tangu tumboni mwa Mama yake!
Hivyo kila mtu anayo maisha yake na yenye upekee wake.
Kila mtu ataishi maisha yake na kamwe hutaishi maisha ya mtu mwingine.
 
Binafsi sijabahatika kukisoma na kukimaliza kitabu kinachoelezea maisha yake kilichoandikwa na mzee huyu mwingi wa ucheshi, uungwana na mbobevu wa lugha tamu ya kiswahili.

Lkn kwa waliokisoma chote wanaeleza mengi sana yanayodhihirisha kuwa hakuwa mtu wa tamaa. Mojawapo ya maelezo hayo ni kwamba "mzee Mwinyi (rip) ktk maisha yake yote hajawahi KUKOPA wala KUKOPESHA.

Hii inaweza kuwa ndiyo siri ya mzee huyu kuishi maisha marefu? Hii inaweza kuwa ndiyo siri ya mzee huyu kuishi maisha yake yote pasipo kuugua (kama ilivuoelezwa na mwanaye Abdul)?

Umewahi kufikiri hali anayopitia mtu anapomkopesha pesa rafiki/ndugu/jamaa halafu akadhulumiwa? Au mtu amekopa fedha benki au kwa ndugu/jamaa halafu akashindwa kurejesha? Afya ya akili huyumba sana na kupelekea maradhi mengi mengine mwilini

Jambo jingine linaloonesha kuwa mzee huyu hakuwa na tamaa ni hili lifuatalo. Mzee Mwinyi amezaliwa 1925 lkn imeandikwa kwenye kitabu chake kwamba 1983 (akiwa na umri wa miaka 58) ndiyo alikuwa ananunua mifuko ya cement na mabati ili ajenge nyumba yake. Ndipo hapo inadaiwa alijiuzulu uwaziri wa mambo ndani na kukumbwa na mkasa wa kufukuzwa kwenye nyumba ya serikali na mrithi wa nafasi yake ya uwaziri wa mambo ya ndani na hakuweza kuondoka na vifaa hivyo.

My take:
Jamani tusiwe na tamaa kwenye maisha, tutakufa kwa stress. Tamaa ilimponza mzee fisi.
Tamaa ilimponzaje Mzee Fisi...!!?
Funguka Mkuu...
 
Nafikiri kujiuzulu ilikuwa miaka ya 70, na sio 83. 83 alikuwa rais wa Zanzibar, ndio maana 85 alikuwa wa muungano.
 
Sasa hapa mbona Mwinyi anashabikiwa kwa hilo?
Personal issues! anapewa credit kwa mambo madogo sana ambayo hayana msingi, mambo ambayo hayana faida kwa wananchi wake.

Mfano unasema “mwinyi hakuwahi kula chips mayai na nyama choma kipindi chote akiwa madarakani huyu baba hana tamaa kabisa tujifunze kutoka kwake”

Ni maswala ambayo hayana positive impact kwa wananchi kwa maana angeweza pia kula bata atakavyo kupitia mshahara wake na majukumu ya nchi yakaendelea
 
Binafsi sijabahatika kukisoma na kukimaliza kitabu kinachoelezea maisha yake kilichoandikwa na mzee huyu mwingi wa ucheshi, uungwana na mbobevu wa lugha tamu ya kiswahili.

Lkn kwa waliokisoma chote wanaeleza mengi sana yanayodhihirisha kuwa hakuwa mtu wa tamaa. Mojawapo ya maelezo hayo ni kwamba "mzee Mwinyi (rip) ktk maisha yake yote hajawahi KUKOPA wala KUKOPESHA.

Hii inaweza kuwa ndiyo siri ya mzee huyu kuishi maisha marefu? Hii inaweza kuwa ndiyo siri ya mzee huyu kuishi maisha yake yote pasipo kuugua (kama ilivuoelezwa na mwanaye Abdul)?

Umewahi kufikiri hali anayopitia mtu anapomkopesha pesa rafiki/ndugu/jamaa halafu akadhulumiwa? Au mtu amekopa fedha benki au kwa ndugu/jamaa halafu akashindwa kurejesha? Afya ya akili huyumba sana na kupelekea maradhi mengi mengine mwilini

Jambo jingine linaloonesha kuwa mzee huyu hakuwa na tamaa ni hili lifuatalo. Mzee Mwinyi amezaliwa 1925 lkn imeandikwa kwenye kitabu chake kwamba 1983 (akiwa na umri wa miaka 58) ndiyo alikuwa ananunua mifuko ya cement na mabati ili ajenge nyumba yake. Ndipo hapo inadaiwa alijiuzulu uwaziri wa mambo ndani na kukumbwa na mkasa wa kufukuzwa kwenye nyumba ya serikali na mrithi wa nafasi yake ya uwaziri wa mambo ya ndani na hakuweza kuondoka na vifaa hivyo.

My take:
Jamani tusiwe na tamaa kwenye maisha, tutakufa kwa stress. Tamaa ilimponza mzee fisi.
Mtu yoyote alie ishi maisha kama ya muinyi na wengine wenye maisha kama yake kwenda kwa mtu kupiga hodi kukopa chochote kile ni ukosefu wa shukurani tamaa kwa sababu akope nini kwa mfano akuwa mfanya biashara maisha yake yote kaisha kwa kulelewa na serikali kuhusu kuishi maisha marefu hiyo ni mipango ya muumba
 
Binafsi sijabahatika kukisoma na kukimaliza kitabu kinachoelezea maisha yake kilichoandikwa na mzee huyu mwingi wa ucheshi, uungwana na mbobevu wa lugha tamu ya kiswahili.

Lkn kwa waliokisoma chote wanaeleza mengi sana yanayodhihirisha kuwa hakuwa mtu wa tamaa. Mojawapo ya maelezo hayo ni kwamba "mzee Mwinyi (rip) ktk maisha yake yote hajawahi KUKOPA wala KUKOPESHA.

Hii inaweza kuwa ndiyo siri ya mzee huyu kuishi maisha marefu? Hii inaweza kuwa ndiyo siri ya mzee huyu kuishi maisha yake yote pasipo kuugua (kama ilivuoelezwa na mwanaye Abdul)?

Umewahi kufikiri hali anayopitia mtu anapomkopesha pesa rafiki/ndugu/jamaa halafu akadhulumiwa? Au mtu amekopa fedha benki au kwa ndugu/jamaa halafu akashindwa kurejesha? Afya ya akili huyumba sana na kupelekea maradhi mengi mengine mwilini

Jambo jingine linaloonesha kuwa mzee huyu hakuwa na tamaa ni hili lifuatalo. Mzee Mwinyi amezaliwa 1925 lkn imeandikwa kwenye kitabu chake kwamba 1983 (akiwa na umri wa miaka 58) ndiyo alikuwa ananunua mifuko ya cement na mabati ili ajenge nyumba yake. Ndipo hapo inadaiwa alijiuzulu uwaziri wa mambo ndani na kukumbwa na mkasa wa kufukuzwa kwenye nyumba ya serikali na mrithi wa nafasi yake ya uwaziri wa mambo ya ndani na hakuweza kuondoka na vifaa hivyo.

My take:
Jamani tusiwe na tamaa kwenye maisha, tutakufa kwa stress. Tamaa ilimponza mzee fisi.
ATI unaijua loliondo
 
Back
Top Bottom