johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,009
- 142,040
Akiongea kwa huzuni Rais Samia amesema Mzee Mwinyi alikuwa Mtu mwenye upendo na Ujasiri wa uwajibikaji na mara zote alipomtembelea aliweza kuchota hekima na Maarifa
" Ninachoweza kusema ni Maktaba yangu imeungua" amesema Rais Samia kwa masikitiko
Aidha Rais amewataka Mawaziri na Wanaccm wajifunze uwajibikaji kwa Hayati Mwinyi, ikiwemo Kujiuzulu kwa makosa yanayotendwa na walio chini yao
Source TBC
" Ninachoweza kusema ni Maktaba yangu imeungua" amesema Rais Samia kwa masikitiko
Aidha Rais amewataka Mawaziri na Wanaccm wajifunze uwajibikaji kwa Hayati Mwinyi, ikiwemo Kujiuzulu kwa makosa yanayotendwa na walio chini yao
Source TBC