MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,486
- 20,438
Tukiwa tunaelekea arobaini ya mzee wetu Mwinyi nilikuwa nataka kupata utaratibu wa kushiriki.
Sikupata nafasi ya kukutana na rais Mwinyi kumpa pole kama walivyofanya watu wengine sababu ya ubize lakini nataka kujitahidi kushiriki 40.
Ningependa kufika ikulu ya Zanzibqr siku moja kabla ya 40.
Ramadan njema wadau.
Sikupata nafasi ya kukutana na rais Mwinyi kumpa pole kama walivyofanya watu wengine sababu ya ubize lakini nataka kujitahidi kushiriki 40.
Ningependa kufika ikulu ya Zanzibqr siku moja kabla ya 40.
Ramadan njema wadau.