Mzee Butiku : CHADEMA Wanafadhiliwa na "Mabeberu "

Mzee Butiku : CHADEMA Wanafadhiliwa na "Mabeberu "

hakuna jipya ambalo mzee kasema,,, yeye anawasheheresha wajinga,

katika ulimwengu wa siasa kama wewe si Beberu basi unafadhiliwa na Beberu..

na kuna mabeberu ya ndani na ya nje..,,
 
Kuna mdau mmoja huwa anapenda kusema "KUNA MSTARI MWEMBAMBA SANA UNAOTENGANISHA KATI YA USHOGA NA UCHAWA" ngoja tuishie hapo
 
Alikuja membe akasema CHADEMA inafadhiliwa na Ujerumani ili kuvinja amani ya nchi. Huyo Membe aliishia wapi?
 
Hili zee baada ya hela ya kumuuza polepole kuisha anatamqni mange arudi amuuze apate hela ya kununulia midouble kick
 
Utashangaa CHADEMA wananuna na kuanza kutukana Matusi Utafikiri Vichaa au wendawazimu
Hakuna mtu atakayenuna. Kuchukua hela kwa marafiki wa nje (japo si kweli) kwa ajili ya kupambania uhuru wa kujieleza na kupambania demokrasia ya uchaguzi huru siyo dhambi. Tunatakiwa kutumia nguvu zozote kuhakikisha usawa na haki za jinadamu Tanzania zinafikiwa. Mungu ni mwema tutafanikiwa tu
 
Back
Top Bottom