"Mabeberu ni kina na ni?
Hao Hao wanaofundisha jeshi lenu? Kuwa pa, misaada ya afya!?
Chadema wanapewa pesa na, wazungu, America, UK, ulaya, sawa, serikali ya, ccm inapokea misaada ya fedha, kutoka US, UK, ulaya! So what is this, pesa ikitoka kwa, mzungu kwenda kwa, chadema ni mbaya, ila, ikija kwa ccm ni, sawa! Hakuna tofauti ya ccm na serikali, wote ni wale wale, jeshi la, polisi ni ccm, Zelote Stephen alikuwa RPC Dodoma, alipostaafu akawa mwenye kiti wa ccm kigoma!
Wizi, wa, EPa, Richmond, ufisadi kila Kona unafanywa, na, ccm, ccm ndio wanafukarisha hii nchi, kama hao mabeberu ni wabaya, kwa nini mnaenda huko kuomba mtambuliwe, mpewe misaada,? Fungeni balozi, zote za, Ulaya, na, America, acheni za, china na nchi za kikomunist!
Huyu mzee at a kuwa, kichwa limejaa makamasi matupu, pesa zote anazopokea chadema zipo bongo, hajonyesha ushahidi kama zinatumika vibaya! Anaongea kama makende