Mzee Butiku : CHADEMA Wanafadhiliwa na "Mabeberu "

Mzee Butiku : CHADEMA Wanafadhiliwa na "Mabeberu "

Bajeti ya Tanzania kwa karibu 60 percent inatoka kwa wazungu Hilo siyo baya Wala siyo kutuuza
Chadema ndo nongwa
Uchawa mbaya sana
Huu upumbavu Huwa mnautoa wapi? Chadomo mna akili za kubemwndwa na Mabeberu Kwa nini mnaandika mambo bila ushahidi?
 
My Take
Wakiambiwa wao ni vibaraka wa Mabeberu wanabisha ila utaona tuu Mabeberu wanavyowapigania na kuwapa platform ya kuyumbisha Nchi Kwa jina la Demokrasia,Haki za binadamu kumbe wanataka watuuze

View: https://www.instagram.com/reel/Dck84CJOSAv/?igsi=cGMxeWFxdG0wNnZ4

Serikali ya Tanzania imefadhiliwa na hao unaowaita "mabeberu " kwa chanjo.dawa za ukimwi ukoma na tb.kijeshi .miradi ya maji afya na elimu na hata bajeti TANGU TUPATE UHURU HADI LEO
Majuzi mwanae Thabit Kombo katumwa kuomba wasiache kutusaidia
Elewa serikali inalipata mamilioni ya dollar Marekani kwa lobbyi groups kubembeleza hao Mabeberu.
 
Back
Top Bottom