Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 15,187
- 24,552
Huyo mzee Butiku nani anamsikiliza tena sasa hivi ajikalie kimya tummh mbona hata wao wanaomba mikopo na misaada kila uchwao kwa hao mabeberu
Huyo mzee Butiku nani anamsikiliza tena sasa hivi ajikalie kimya tummh mbona hata wao wanaomba mikopo na misaada kila uchwao kwa hao mabeberu
Wewe nae ni mjinga tuu na inachosha kujibu watu kama wewe.mmh mbona hata wao wanaomba mikopo kila uchwao kwa hao mabeberu
mi sijaomba kujibiwa sijui nani kakupa huo umuhimu,, na usinipangie cha kuandikaWewe nae ni mjinga tuu na inachosha kujibu watu kama wewe.
Mkopo na kufadhiliwa vinaingilianaje? Anaekufadhili manake anakupa hadidu za rejea nini Cha kufanya
Nchi sio kikundi Cha wahuni wanaoelekezwa Cha kufanyaSerikali ya Tanzania imefadhiliwa na hao unaowaita "mabeberu " kwa chanjo.dawa za ukimwi ukoma na tb.kijeshi .miradi ya maji afya na elimu na hata bajeti TANGU TUPATE UHURU HADI LEO
Majuzi mwanae Thabit Kombo katumwa kuomba wasiache kutusaidia
Elewa serikali inalipata mamilioni ya dollar Marekani kwa lobbyi groups kubembeleza hao Mabeberu.
🚮🚮mi sijaomba kujibiwa sijui nani kakupa huo umuhimu,, na usinipangie cha kuandika
Huyu mzee kijana ni boss huko TANAPA,huyu mzee hata kipindi akiwa mkuu wa mkoa wa mara alikuwa ni mzee mpuuzi asiyewajibika na mzembe haswa,kilichomsaidia ni kutoka ukoo wa Nyerere basiAlibanwa Kidogo akamuuza Polepole Huyu Mzee
Hawa ndo Kina Yeriko Nyerere waliozeeka
Vyama rafiki kama CCP ya China sio mabeberu?Na wanachama au umewahi ona beberu anafadhili CCM?
Sijawahi sikia vimetoa pesaVyama rafiki kama CCP ya China sio mabeberu?
Hahahahahaaaaa dogo my take. Mkuu rudisha avatar picha ya spika Zungu.Dogo Mytake Mzee wako Hela za kumuuza Polepole zimeisha sasa.
Na wanachama au umewahi ona beberu anafadhili CCM?
My Take
Wakiambiwa wao ni vibaraka wa Mabeberu wanabisha ila utaona tuu Mabeberu wanavyowapigania na kuwapa platform ya kuyumbisha Nchi Kwa jina la Demokrasia,Haki za binadamu kumbe wanataka watuuze
View: https://www.instagram.com/reel/Dck84CJOSAv/?igsi=cGMxeWFxdG0wNnZ4
My Take
Wakiambiwa wao ni vibaraka wa Mabeberu wanabisha ila utaona tuu Mabeberu wanavyowapigania na kuwapa platform ya kuyumbisha Nchi Kwa jina la Demokrasia,Haki za binadamu kumbe wanataka watuuze
View: https://www.instagram.com/reel/Dck84CJOSAv/?igsi=cGMxeWFxdG0wNnZ4
Mabeberu mnayoenda kuyabembeleza kupitia kampuni za lobbying.Mada ni kufadhiliwa na Mabeberu,hayo mengine sidhani kama yanahitaji mtu akufadhili kuyasema
Mzee wangu wa ilala tunahesmiana na kusnichiana kimgongo mgongo.Hahahahahaaaaa dogo my take. Mkuu rudisha avatar picha ya spika Zungu.
Husemi sisiem kutumia Hela za mabeberu kuanzisha miradi ya kutunza wahuni na wale wa imejensi steti.Mada ni kufadhiliwa na Mabeberu,hayo mengine sidhani kama yanahitaji mtu akufadhili kuyasema
Utashangaa CHADEMA wananuna na kuanza kutukana Matusi Utafikiri Vichaa au wendawazimu