[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dogo nakushukuru sana..
Una zawadi yako[emoji23]
Asante kwa kumtaja, ni Mtende sijui what is happening to me ila nampenda sana huyu dada, mbinu zangu zote zimegoma
Please say a word Mtende, sma tu malume asante kwa kunipenda nitaridhika ndani ya nafsi yangu, najua siwezi kukupata ila siwezi kuficha hisia zangu juu yako
Sasa ameniblock sijui hata kama ataona huu ujumbe
Mbona jina la kike hili BrotherSamahani sister jina lako linachanganya
Pambana[emoji2]@Makiseo sasa umemjua crush wangu, unanishaurije
Sawa sawa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuja kuichukua baadaye ma mkubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ona sasa
Tatizo hutaki kufwata ushauri wangu wa kulirudia Marianah au lile jingine
Mimi tangu uzi unaanza nilikuwa nimeshamjua...Kwahiyo ina maana mimi nilivyotoa hint Nimeshaharibu siyo
Yeah mimi the moment nimemaliza tu kusoma uzi id ya kwanza iliyonijia kichwani ni ya MtendeMimi tangu uzi unaanza nilikuwa nimeshamjua...
Walivyoongezea akina BAK nikaconfirm asilimia 90
Alivyokuja kumalizia mwenyewe mtoa mada alivyosema blabla za 2011 nikaconfirm kabisa...maana huwa namsoma sana huyu dada,moja kwa moja nikakumbuka ashawahi kuandika.
Daaaaah ila ntapata tu wakuendana nae hahahahaAah wapi kama ni wewe Ndiyo umenicrush heri nikufe tu
Upo sahihiLabda aamue tu kukupandishia uzi
Ila wewe kuacha pombe huwezi.
Mimi ningekuwa mzee wa kubet nadhani ningekuwa nakula hela kila siku[emoji1787]Yeah mimi the moment nimemaliza tu kusoma uzi id ya kwanza iliyonijia kichwani ni ya Mtende
Msalimie aliyekupoteza [emoji38]
Happy New Year..
Nilijiwazia tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Doh kwanini mkuu
Kuna moja ngoja niimalizie hii wiki halafu nitakuletea ujue kwanini yule alikwambia fulani ni mtu wa maji.[emoji40][emoji40][emoji40]
Nilitaka niropoke siku ileile sema nikajipa muda.
Mmh kwani ni komenti/uzi gani iliofanya/uliofanya Uwaze hivyoNilijiwazia tu.
Kuna wadada ukiwasikia unajiuliza huyu ananyanyua miguu juu kweli na kuichanua?
Jeni lowasa ni jeuriiiiiii .,.