My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Maelezo yanaelekea kumlenga Paula Paul hivi ila kama yanakataa hivi yanamuendea Carleen kwa mbali. Mi sio mnajimu ila mtoa mada hawezi kuwa mbali na hizo ID[emoji81]
Hawa hawawezi kuwa japo nao wanaqualify kabisa kabisa tena mno. Mtoa mada anasema alidata baada ya kuona crush wake kachangia uzi fulani mwaka 2014. Carleen na Paula Paul siyo wakongwe kihivyo labda kama walikuwepo halafu wakabadili ID...
 
Hahaha mm kuna pisi niliambia.. ATU unamtetea sana huyo jamaa, nilipompiga moto kwa mkia wangu, sikusikia tena hayo makeke
Huyu haingiliki mkuu, ninejaribu sana, kwanza sidhani hata mana PM huwa anajibu, kuna wakati nilipanga kabisa nimwage makopa nikakuta PM amefunga
 
Yh! It happened kwa yoyote yule 'in a lifetime!
1. High school, nilikuwa nikimuona napata mpaka mshtuko [emoji3] ila akaja kunitaka kipindi ambacho nishamuona wa kawaida sanaaaaa..

2. Nilim'crush mtu humu ndani, nikiona ameniqoute nitasmile hapo nakuwa sina tofauti na chizi fresh. Mbaya zaidi ilikuwa mpaka akuqoute aisee inachukua muda... Wonders shall never cease, alivyoanza kunilike na kuniqoute zile feelings zimekufa [emoji10] ila bado iko siku nitakayomwambia 'hapo zamani kidogo palikuwa na moja na mbili.

3. Alinipenda yeye, akanifanya nikampenda boom kitumbua kikaingia mchanga.... Ehehe sitaki kukumbuka vile nili'struggle kumsahau na kumuona wa kawaida. Naishukuru akili ilifanikiwa now nimejifunza zile za mguu nje mguu ndani, Mimi kwanza wengine baadaye...Na'enjoy kwa kweli
@Depal hujambo mdogo wangu??
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom