BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
Umenichekesha sana aisee 😂😂😂😂sasa nimekumbuka unajua hili jamvi limekuwa kubwa sana hivyo kumkumbuka kila member wakati mwingine si rahisi. Uniwie radhi kwa hilo.
[emoji23][emoji23] [emoji3][emoji3]
Wewe "dumb wants to speak" mbona tumeshaquotiana mara kadhaa kwenye mijadala mbalimbali? Tena kwa id yangu hii hii ina maana siku zote hizo haukuwahi kugundua kuwa mimi ni KE?