My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Ameniblock sijui hata kama anasoma huu uzi, ningejua na mimi ningemfata PM kwa gia ya msaada labda by this time tungekua pazuri
Pole mkuu! Ila kama una familia naye anayo aah baki tu kuwa crush wake hivo basi iishie hivo na huenda hadi anakublock sababu anahofia na anaipenda ndoa yake! Pia Imagine mkeo yupo humu na anasoma huu uzi atafeel vipi? Mke wako mwenyewe ni mimi hapa hakika nimejiskia vibaya🙄🙄
 
Mara ya kwanza niliona umechangia uzi fulani back in 2014, nilikua mgeni hapa JF ila i can't tell how i felt about you nakuadmire secretly, since then, i promised myself to love you with all my heart, sina uhakika kama unajua kwa sababu sijawahi kukutamkia, whenever i log in here, the first person to look for is you, huwa naangalia umecomment nini, umelike kwa nani, na nani amekumention, naweza kuingia JF mwezi mzima nisiseme chochote, nakuangalia tu wewe naona furaha

You are a beautful soul, a real woman, wife material, a mother, smart, and God fear.

Kuna wakati huwa natamani nikuibukie PM ila naogopa, najua umeolewa na una familia, huwa hujichanganyi sana hapa jukwaani na huwa huchangii kwenye nyuzi zenye matani mengi

Ni mshauri mzuri sana, you respect everyone na sio rahisi ukwaruzane na watu.kuna wakati huwa unapoa kabisa kama vile haupo, sijui nikuambiaje wewe mwanamama, nakupenda hadi nahisi kupoteza fahamu, kila nikijitahidi kukutoa akilini mwangu nafeli

Kuna wakati nilikutumia PM za salamu, hukuwahi kunijibu hata moja wala hukuonyesha kujali.niliumia sana, nilikata tamaa ya kuendelea kukutafuta PM na sikua hata na ujasiri wa kueleza hisia zangu juu yako, tatizo ni kwamba you are too perfect kila nikiangalia sioni dosari yako

Huwa nasikia wivu nikiona mtu amekusifia au amekumention kwa jambo lolote, tena nikiona kidume amekuwekea emoj za love basi hali ya hewa huwa inabadilika hata nyumbani huwa sitaki hata wife anisemeshe. natamani ningekua nakumiliki wewe, nikuchunge na kukuficha

Aaah siwezi kuendelea kusema ila leo nimeamua nitoe ya moyoni labda nitapata ahueni.I do admire you secretly mama.

Karibuni tuwatakie wale secret admirers wetu heri ya siku ya wanawake
Huyu mleta mada kanikosha sio siri👍👍
 
Pole mkuu! Ila kama una familia naye anayo aah baki tu kuwa crush wake hivo basi iishie hivo na huenda hadi anakublock sababu anahofia na anaipenda ndoa yake! Pia Imagine mkeo yupo humu na anasoma huu uzi atafeel vipi? Mke wako mwenyewe ni mimi hapa hakika nimejiskia vibaya[emoji849][emoji849]
Nimeweka huu uzi kama confession na ndio maana nimesema the woman has no time yaani haingiliki kirahisi, the only way i can swallow this ni kutua huu mzigo

Mwisho wa uzi nimesema wanaume tuwatakie macrush zetu heri ya siku ya wanawake ila cha kushangaza wanaune wamekuja hapa kupambana na mimi
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom