My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Kapole fulani hivi ila kamechangamka! Ilianza Kama masihara mara mambo mrembo! Mara we ndo komamanga wangu! Mwisho wa siku pauka pakawa! Uzuri anajijua na anaijua hadi Kona ya mahaba niliyomkaba. 🤣
Ni wewe tu mrembo nakupenda chana .
 
NIlikuwa najaribu kukuvuta karibu nijue ni % ngapi za matamanio kwa super woman wetu halafu nijikatae[emoji1787][emoji1787]

Ndoa iheshimiwe na watu wote aise.wewe una ndoa,Na yeye ana ndoa..acha ndoa kwa ndoa ziheshimiane[emoji1635][emoji1635]
Sawa nimekuelewa
 
Kapole fulani hivi ila kamechangamka! Ilianza Kama masihara mara mambo mrembo! Mara we ndo komamanga wangu! Mwisho wa siku pauka pakawa! Uzuri anajijua na anaijua hadi Kona ya mahaba niliyomkaba. 🤣
Ni wewe tu mrembo nakupenda chana .
woow Mzidi kupendana mkuu

Me wangu nisubiri siku ya wanaume nifunguke ya moyoni❣️

Cc...
 
We jamaa mpaka nimekuonea huruma kwa jinsi unavyoumia, angekua hajaolewa ningekushauri upambane umpate ila mke wa mtu jitahid umuone kawaida usitafute matatizo
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom